Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
Watu 100 ambao walikuwa wakichimba madini kinyume cha sheria katika mgodi wa dhahabu usiofanya kazi nchini Afrika Kusini wamefariki baada ya kunaswa chini ya mgodi huo kwa miezi kadhaa, huku polisi wakijaribu kuwaondoa huko, kundi linalowakilisha wachimba migodi hao limesema jana Jumatatu.
Sabelo Mnguni, msemaji wa jamii zilizoathiriwa na uchimbaji madini ameliambia shirika la habari la Associated Press kwamba simu ya mkononi iliyotumwa juu ya mgodi huo na baadhi ya wachimba migodi waliookolewa siku ya Ijumaa, ilikuwa na video mbili zikionyesha miili kadhaa iliyofunikwa kwa plastiki chini ya ardhi.
Polisi wanashuku watu hao wamekufa kwa njaa au kwa sababu ya kukosa maji mwilini. Msemaji wa polisi Brigedia Sebata Mokgwabone amesema bado wanachunguza taarifa kujua ni miili mingapi iliyopatikana na ni manusura wangapi waliookolewa baada ya operesheni ya uokoaji kuanzishwa Jumatatu.
=================================================================
At least 100 people who were mining illegally in an abandoned gold mine in South Africa have died after being trapped deep underground for months while police tried to get them out, a group representing the miners has said.
Sabelo Mnguni, a spokesman for the Mining Affected Communities United in Action Group, told The Associated Press that a phone sent to the surface with some rescued miners on Friday had two videos on it showing dozens of bodies underground wrapped in plastic.
Mr Mnguni said “a minimum” of 100 men had died in the mine in North West province, where police first launched an operation in November to force the miners out.
They were suspected to have died of starvation or dehydration, he said.
He said 18 bodies have been brought out since Friday.
Source: MSN News/ AP News
Sabelo Mnguni, msemaji wa jamii zilizoathiriwa na uchimbaji madini ameliambia shirika la habari la Associated Press kwamba simu ya mkononi iliyotumwa juu ya mgodi huo na baadhi ya wachimba migodi waliookolewa siku ya Ijumaa, ilikuwa na video mbili zikionyesha miili kadhaa iliyofunikwa kwa plastiki chini ya ardhi.
Polisi wanashuku watu hao wamekufa kwa njaa au kwa sababu ya kukosa maji mwilini. Msemaji wa polisi Brigedia Sebata Mokgwabone amesema bado wanachunguza taarifa kujua ni miili mingapi iliyopatikana na ni manusura wangapi waliookolewa baada ya operesheni ya uokoaji kuanzishwa Jumatatu.
=================================================================
At least 100 people who were mining illegally in an abandoned gold mine in South Africa have died after being trapped deep underground for months while police tried to get them out, a group representing the miners has said.
Sabelo Mnguni, a spokesman for the Mining Affected Communities United in Action Group, told The Associated Press that a phone sent to the surface with some rescued miners on Friday had two videos on it showing dozens of bodies underground wrapped in plastic.
Mr Mnguni said “a minimum” of 100 men had died in the mine in North West province, where police first launched an operation in November to force the miners out.
They were suspected to have died of starvation or dehydration, he said.
He said 18 bodies have been brought out since Friday.
Source: MSN News/ AP News