Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei

Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Juzi kati kulikua na Malaysia Auto Show, kuanzia tarehe 22 May hadi tarehe 26 May. Kuna baadhi ya chuma zimezinduliwa ila hii ilinivutia.

Aion sub brand ya CAG wamezindua Aion Hyper HT SUV EV gari linalofanana na Tesla Model X kwa $54,000 tu, performance model.
2024-MAS_AION-Hyper-HT_Ext-3.jpg

Mfanano hauishii umbo la nje tu, hadi infamous Falcon doors ambazo ni moja ya unique feature ya Tesla Model X pia imecopiwa.
images (29).jpeg

Hii ya juu ni Tesla, ikiwa imefungua milango yetu na cheki chini sasa.
2024-MAS_AION-Hyper-HT_Ext-15-850x567.jpg

Kwa ndani, gari ina screen inch 14 katikati na digital cluster ya 8.8 inch zote zina run Qualcomm Snapdragon SoC.
2024-MAS_AION-Hyper-HT_Int-1.jpg

Kuhusu range, kuna option ya 550km na 600km na pia high performance zipo za 670km na 825km.

Mwenye pesa ataileta.
 
Wachina wanacopy sana
Na ndo tunachotakiwa kufanya,hakuna sababu ya kuanza upya wakati Kuna watu washafanya all the leg work, ni mwendo wa kukomaa humohumo, hata sisi ingebidi tuwe kama wachina tuanze ku copy na ku paste tu hizo product zote mpaka ifike mahali tuweze, sio kuhangaika kuzindua midoli sijui sanamu kama lile la bunge, au magari kama ya kipanya Haina tija tena


Kuna jamaa watatu ni ndugu us Wana utajiri wa kufuru kisa kutengeneza clones tu, walianza kutengeneza clone ya Google search engine, google walivyoona inapata sana watumiaji wakaona heri nusu Shari wakawaita wakainunua kwa Dola zaidi ya milioni Moja


Jamaa wakatengeneza clone ya Facebook, baadaye Facebook nao wakawanunua kwa Dola milioni 140


Wame clone vitu vingi sana, nilikua naangalia interview Yao majuzi wakawa wanahimiza hakuna haja ya kujitesa kuanza upya ilhali Kuna watu wameshajitesa na kugundua kitu, we anzia hapo hapo walipoishia uendelee mbele


Nikipata wasaa ntashusha video huku, big up mchina..... Na tumshukuru sana, hizi Jordan za elfu 70 mpaka laki tunazovaa huko US hakuna kitu kama hicho, Jordan kuuzwa Dola 1000-4000 ni jambo kwao lishakua la kawaida, bila mchina tusingeweza kumudu vitu vingi sana
 
Juzi kati kulikua na Malaysia Auto Show, kuanzia tarehe 22 May hadi tarehe 26 May. Kuna baadhi ya chuma zimezinduliwa ila hii ilinivutia.

Aion sub brand ya CAG wamezindua Aion Hyper HT SUV EV gari linalofanana na Tesla Model X kwa $54,000 tu, performance model.
View attachment 3001903
Mfanano hauishii umbo la nje tu, hadi infamous Falcon doors ambazo ni moja ya unique feature ya Tesla Model X pia imecopiwa.
View attachment 3001904
Hii ya juu ni Tesla, ikiwa imefungua milango yetu na cheki chini sasa.
View attachment 3001905
Kwa ndani, gari ina screen inch 14 katikati na digital cluster ya 8.8 inch zote zina run Qualcomm Snapdragon SoC.
View attachment 3001907
Kuhusu range, kuna option ya 550km na 600km na pia high performance zipo za 670km na 825km.

Mwenye pesa ataileta.
Duuuh noma sana. Hapa wamezingua kichizi kwa kweli
 
Na ndo tunachotakiwa kufanya,hakuna sababu ya kuanza upya wakati Kuna watu washafanya all the leg work, ni mwendo wa kukomaa humohumo, hata sisi ingebidi tuwe kama wachina tuanze ku copy na ku paste tu hizo product zote mpaka ifike mahali tuweze, sio kuhangaika kuzindua midoli sijui sanamu kama lile la bunge, au magari kama ya kipanya Haina tija tena


Kuna jamaa watatu ni ndugu us Wana utajiri wa kufuru kisa kutengeneza clones tu, walianza kutengeneza clone ya Google search engine, google walivyoona inapata sana watumiaji wakaona heri nusu Shari wakawaita wakainunua kwa Dola zaidi ya milioni Moja


Jamaa wakatengeneza clone ya Facebook, baadaye Facebook nao wakawanunua kwa Dola milioni 140


Wame clone vitu vingi sana, nilikua naangalia interview Yao majuzi wakawa wanahimiza hakuna haja ya kujitesa kuanza upya ilhali Kuna watu wameshajitesa na kugundua kitu, we anzia hapo hapo walipoishia uendelee mbele


Nikipata wasaa ntashusha video huku, big up mchina..... Na tumshukuru sana, hizi Jordan za elfu 70 mpaka laki tunazovaa huko US hakuna kitu kama hicho, Jordan kuuzwa Dola 1000-4000 ni jambo kwao lishakua la kawaida, bila mchina tusingeweza kumudu vitu vingi sana
Dah ukipata hiyo link msaada. Nimegundua iyo ata ujio wa AI hizi zimeibuka nyingi kwa pamoja, inamaanisha wanakopiana.
 
Hapo ni sawa uende dukani kuna SONY na SOYN halafu ununue SOYN utoke unajisifu nimepata kitu kama sony kinaitwa soyn huku ukicheka kama zuzu!
 
Wachina wanacopy sana
Huwezi ku copy kama huna elimu mkuu, unaweza pewa circuit board ya simu na vifaa vyote ukaambiwa copy ukabaki kuitizama tu, hao jamaa ni engineers wanaitizama model X wanaelewa kuna nini na nini kimewekwa wanatengeneza, kingine ni issue ya soko lakini kama wameweza ku copy vitu vyote vya ndani hawashindwi kubuni body yao ya nje.
 
Huwezi ku copy kama huna elimu mkuu, unaweza pewa circuit board ya simu na vifaa vyote ukaambiwa copy ukabaki kuitizama tu, hao jamaa ni engineers wanaitizama model X wanaelewa kuna nini na nini kimewekwa wanatengeneza, kingine ni issue ya soko lakini kama wameweza ku copy vitu vyote vya ndani hawashindwi kubuni body yao ya nje.
Jamaa wapo mbali Sana kwenye magari ya UMEME, naona wajapan bado hawajaingia Kwa nguvu kwenye EV.
 
Na ndo tunachotakiwa kufanya,hakuna sababu ya kuanza upya wakati Kuna watu washafanya all the leg work, ni mwendo wa kukomaa humohumo, hata sisi ingebidi tuwe kama wachina tuanze ku copy na ku paste tu hizo product zote mpaka ifike mahali tuweze, sio kuhangaika kuzindua midoli sijui sanamu kama lile la bunge, au magari kama ya kipanya Haina tija tena


Kuna jamaa watatu ni ndugu us Wana utajiri wa kufuru kisa kutengeneza clones tu, walianza kutengeneza clone ya Google search engine, google walivyoona inapata sana watumiaji wakaona heri nusu Shari wakawaita wakainunua kwa Dola zaidi ya milioni Moja


Jamaa wakatengeneza clone ya Facebook, baadaye Facebook nao wakawanunua kwa Dola milioni 140


Wame clone vitu vingi sana, nilikua naangalia interview Yao majuzi wakawa wanahimiza hakuna haja ya kujitesa kuanza upya ilhali Kuna watu wameshajitesa na kugundua kitu, we anzia hapo hapo walipoishia uendelee mbele


Nikipata wasaa ntashusha video huku, big up mchina..... Na tumshukuru sana, hizi Jordan za elfu 70 mpaka laki tunazovaa huko US hakuna kitu kama hicho, Jordan kuuzwa Dola 1000-4000 ni jambo kwao lishakua la kawaida, bila mchina tusingeweza kumudu vitu vingi sana
Marekani anahangaika ili magari ya mchina yasiingie ulaya.
Nchi kama Australia wao Wanafanya biashara na china tena ndiyo soko Lao kubwa lipo Huko...mchina amekuja Kwa speed kubwa Sana kwenye magari ya UMEME
 
Kuna BYD Seagull inaniumiza sana kichwa, kibongo bongo ni gari nzuri sana ku save ukali wa maisha jamaa wanaiunza kati ya 9000 na 12000 usd ambayo nikikomaa hata kibongo bongo naweza vuta, hiyo 54,000usd hapana kwakweli
 
Kuna BYD Seagull inaniumiza sana kichwa, kibongo bongo ni gari nzuri sana ku save ukali wa maisha jamaa wanaiunza kati ya 9000 na 12000 usd ambayo nikikomaa hata kibongo bongo naweza vuta, hiyo 54,000usd hapana kwakweli
 
Kuna BYD Seagull inaniumiza sana kichwa, kibongo bongo ni gari nzuri sana ku save ukali wa maisha jamaa wanaiunza kati ya 9000 na 12000 usd ambayo nikikomaa hata kibongo bongo naweza vuta, hiyo 54,000usd hapana kwakweli
Kuna BYD Shark na BYD Yangwang nazikubali sana
 
Bila mchina hata hizi simu janja tunazotamba nazo humu JF, huko mujini twitter na kwingineko, walahi wengi tungeishia smart kitochi kuvimba nacho mitaani.

Big up mchina
cc Xi Jinping
Xi Jinping kwa mara ya kwanza mwaka 2014 alitaka viwanda vya magari viwekeze kwenye EVs

Nobody in mainstream media cared

Mwaka huo walitengeneza magari 75,000 tu

Sasa hivi China wameliteka soko la EVs

Never underestimate China’s vision and determination.

Sasa hivi ambition na vision iko kwenye semiconductors. Yajayo yanafurahisha
 
Back
Top Bottom