johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Shujaa Magufuli anakumbukwa na Wengi ikiwemo huko China japo hawamtaji moja kwa moja lakini baadhi ya Wachina wamesema Tanzania ilifuata njia sahihi za kuwatuliza kisaikolojia Watu wake kwa sababu Covid 19 ni usanii tu wa kidunia
Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri
Dominica njema!
Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri
Dominica njema!