Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shujaa aliyekufa kiboya. Tuna mwambia corona IPO akawa anabishana na wataalamu manina. Kilicho mkuta Hadi Raha. Mauwaji utekaji vyote vikakoma.Shujaa Magufuli anakumbukwa na Wengi ikiwemo huko China japo hawamtaji moja kwa moja lakini baadhi ya Wachina wamesema Tanzania ilifuata njia sahihi za kuwatuliza kisaikolojia Watu wake kwa sababu Covid 19 ni usanii tu wa kidunia
Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri
Dominica njema!
Boya kafa kisengeHalafu shujaa akafa kw@ covid!
Watanzania wanaisubir kwa hamu hiyo siku.. na ule ugonjwa ulimpata Makamo wa raisi siku chache kabla ya Magufuli kufa pia uchunguzwe..Itapendeza wakichunguza pamoja na zile Lisasi walizommiminia Shujaa Brother wa taifa Tundu Lisu.Kufa ni sahihi ya kila mja kurudi kwa muumba wake lakini hiki cha mwamba JPM kinahitaji kuchunguzwa, hata ikiwa miaka 50 itabidi kichunguzwe ili ibainike bayana.
Kwa sasa kila aliye na a, b, c zake kikubwa ajitahidi kuziweka pa salalma ili muda ukifika ziisaidie nchi yetu
Belarus ambayo ipo ulaya haikuwa na lockdownShujaa Magufuli anakumbukwa na Wengi ikiwemo huko China japo hawamtaji moja kwa moja lakini baadhi ya Wachina wamesema Tanzania ilifuata njia sahihi za kuwatuliza kisaikolojia Watu wake kwa sababu Covid 19 ni usanii tu wa kidunia
Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri
Dominica njema!
Hapana ila ni wewe ndiyo ulimuambukiza Magufuli coronaUlimuambukiza wewe?
Bavicha mna ututusa mwingi!Hapana ila ni wewe ndiyo ulimuambukiza Magufuli corona
...n@ vifo vya covid kwa viongozi mbalimbali vikakomea hapo.!!!Halafu shujaa akafa kw@ covid!
Kuna Lissu, Ben na wengine, vp vifo vyao?Kufa ni sahihi ya kila mja kurudi kwa muumba wake lakini hiki cha mwamba JPM kinahitaji kuchunguzwa, hata ikiwa miaka 50 itabidi kichunguzwe ili ibainike bayana.
Kwa sasa kila aliye na a, b, c zake kikubwa ajitahidi kuziweka pa salalma ili muda ukifika ziisaidie nchi yetu
Alileta ujinga kwenye Corona ikapita nayeCovid apo Ilibandikwa tu, the Reality is under Cover
Mimi huwa namwona ni zaidi ya hivyoEti jini jiwe![emoji2][emoji2][emoji2]
Halafu ikiwa miaka 50 kama aliuwawa nn kitawapata wauaji?Kufa ni sahihi ya kila mja kurudi kwa muumba wake lakini hiki cha mwamba JPM kinahitaji kuchunguzwa, hata ikiwa miaka 50 itabidi kichunguzwe ili ibainike bayana.
Kwa sasa kila aliye na a, b, c zake kikubwa ajitahidi kuziweka pa salalma ili muda ukifika ziisaidie nchi yetu
Hakika Corona ilikomboa Taifa letu, bila corona sijui ingekuwaje. Corona ijengewe sanamu. OverShujaa aliyekufa kiboya. Tuna mwambia corona IPO akawa anabishana na wataalamu manina. Kilicho mkuta Hadi Raha. Mauwaji utekaji vyote vikakoma.
COVID hoyeeeeeee
Sweeden pia labda zinaongozwa na Magufuli...wabongo wanapenda sifa za kizamani,kuabudu watu.Belarus ambayo ipo ulaya haikuwa na lockdown
Ulitaka shujaa uwe wewe utakayekufa kwa ukimwi?Halafu shujaa akafa kw@ covid!
Sambamba na hilo lile suala la watumishi wa serikali walionyimwa kupandishwa mishahara na madaraja kama sheria inavyoelekeza nalo litafanyiwa kazi.hakika mkuu mwenye ushahidi wa kutosha atunze siku ipo na litafanyiwa kaz
Aliidharau COVID-19 ikamfyekelea mbali!Shujaa Magufuli anakumbukwa na Wengi ikiwemo huko China japo hawamtaji moja kwa moja lakini baadhi ya Wachina wamesema Tanzania ilifuata njia sahihi za kuwatuliza kisaikolojia Watu wake kwa sababu Covid 19 ni usanii tu wa kidunia
Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri
Dominica njema!
Binadamu mradi ulizaliwa utafufa tu.Ulitaka shujaa uwe wewe utakayekufa kwa ukimwi?