#COVID19 Wachina hawataki Lockdown wadai COVID-19 ni usanii tu!

#COVID19 Wachina hawataki Lockdown wadai COVID-19 ni usanii tu!

Shujaa Magufuli anakumbukwa na Wengi ikiwemo huko China japo hawamtaji moja kwa moja lakini baadhi ya Wachina wamesema Tanzania ilifuata njia sahihi za kuwatuliza kisaikolojia Watu wake kwa sababu Covid 19 ni usanii tu wa kidunia

Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri

Dominica njema!
Shujaa aliyekufa kiboya. Tuna mwambia corona IPO akawa anabishana na wataalamu manina. Kilicho mkuta Hadi Raha. Mauwaji utekaji vyote vikakoma.

COVID hoyeeeeeee
 
Kufa ni sahihi ya kila mja kurudi kwa muumba wake lakini hiki cha mwamba JPM kinahitaji kuchunguzwa, hata ikiwa miaka 50 itabidi kichunguzwe ili ibainike bayana.

Kwa sasa kila aliye na a, b, c zake kikubwa ajitahidi kuziweka pa salalma ili muda ukifika ziisaidie nchi yetu
Watanzania wanaisubir kwa hamu hiyo siku.. na ule ugonjwa ulimpata Makamo wa raisi siku chache kabla ya Magufuli kufa pia uchunguzwe..Itapendeza wakichunguza pamoja na zile Lisasi walizommiminia Shujaa Brother wa taifa Tundu Lisu.
 
Jana kuna dada nmepishana nae njiani ananuka K vibaya jamani K ikiamua kunuka inanuka, dada zangu mliopo humu hakikisheni K zenu mnaziosha vizuri na hazitoi kale kaharufu wengine ni kero kwetu yaan km kuna mzoga uliokufa siku 3/4 umekufa, mda wote nilikua natema mate chini alafu alikua na Jamaa yake wameshikana mikono Jamaa ile harufu sijui alikua haisikii au ndio kujikaza kisabuni K inanuka vibaya jamani K inanuka jaman

Sorry nipo nje ya mada wakuu,
 
Shujaa Magufuli anakumbukwa na Wengi ikiwemo huko China japo hawamtaji moja kwa moja lakini baadhi ya Wachina wamesema Tanzania ilifuata njia sahihi za kuwatuliza kisaikolojia Watu wake kwa sababu Covid 19 ni usanii tu wa kidunia

Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri

Dominica njema!
Belarus ambayo ipo ulaya haikuwa na lockdown
 
Kufa ni sahihi ya kila mja kurudi kwa muumba wake lakini hiki cha mwamba JPM kinahitaji kuchunguzwa, hata ikiwa miaka 50 itabidi kichunguzwe ili ibainike bayana.

Kwa sasa kila aliye na a, b, c zake kikubwa ajitahidi kuziweka pa salalma ili muda ukifika ziisaidie nchi yetu
Kuna Lissu, Ben na wengine, vp vifo vyao?
 
Kufa ni sahihi ya kila mja kurudi kwa muumba wake lakini hiki cha mwamba JPM kinahitaji kuchunguzwa, hata ikiwa miaka 50 itabidi kichunguzwe ili ibainike bayana.

Kwa sasa kila aliye na a, b, c zake kikubwa ajitahidi kuziweka pa salalma ili muda ukifika ziisaidie nchi yetu
Halafu ikiwa miaka 50 kama aliuwawa nn kitawapata wauaji?
 
Shujaa aliyekufa kiboya. Tuna mwambia corona IPO akawa anabishana na wataalamu manina. Kilicho mkuta Hadi Raha. Mauwaji utekaji vyote vikakoma.

COVID hoyeeeeeee
Hakika Corona ilikomboa Taifa letu, bila corona sijui ingekuwaje. Corona ijengewe sanamu. Over
 
hakika mkuu mwenye ushahidi wa kutosha atunze siku ipo na litafanyiwa kaz
Sambamba na hilo lile suala la watumishi wa serikali walionyimwa kupandishwa mishahara na madaraja kama sheria inavyoelekeza nalo litafanyiwa kazi.
 
Shujaa Magufuli anakumbukwa na Wengi ikiwemo huko China japo hawamtaji moja kwa moja lakini baadhi ya Wachina wamesema Tanzania ilifuata njia sahihi za kuwatuliza kisaikolojia Watu wake kwa sababu Covid 19 ni usanii tu wa kidunia

Hili ni kundi la pili kumkumbuka Shujaa baada ya Lema wa Chadema naye kumkiri

Dominica njema!
Aliidharau COVID-19 ikamfyekelea mbali!
 
Ulitaka shujaa uwe wewe utakayekufa kwa ukimwi?
Binadamu mradi ulizaliwa utafufa tu.
Iwe covid, ukimwi, ebola, malaria kisukari, pressure, ajali, sumu, mauaji, kujinyonga au kuzama.
Ni pale unaposuka kumwondia mtu duniani kwa hila, karma inasema adui kifo atakunyemelea tu na kukupata kwa kukutanguliza.
Ila wote ni wa udongo kwa wakati Mola anaona unafaa.
 
Back
Top Bottom