babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Thats called lockdown, in other way social distance and isolation in their way kutuliza panic.Did Sweden’s controversial COVID strategy pay off? In many ways it did – but it let the elderly down
Although Sweden was hit hard by the first wave, its total excess deaths during the first two years of the pandemic was among the lowest in Europe.theconversation.com
Upo yombo Vituka buddy??? Bado unaendeleza ubishi??Thats called lockdown, in other way social distance and isolation in their way kutuliza panic.
Wote ila mmoja ilikuwa aibu kutangaza...
Yap Buza nipo bossUpo yombo Vituka buddy??? Bado unaendeleza ubishi??
Moja ya hivyo vifo vya kujitakia kinaweza kuwa cha kwako kinachotokana na umeme, hukulazimishwa!Kuna vifo watu wanajitakia!
Usihamishe mada.Moja ya hivyo vifo vya kujitakia kinaweza kuwa cha kwako kinachotokana na umeme, hukulazimishwa!
Apumzike tu hukohuko aliko, watu tuna amani tele. Amani ni bora kuliko ndege n.kHakuna mtu ana time za kuchunguza mkuu. Serikali ime move on na shughuli zingine. Hizo irrelevant subject hazitosaidia lolote
Rejea mahojiano ya H.E Dr. SSH kwenye the Royal TourHebu jiulize kwa nini unaamini hivyo?
Kivipi? Mbona yeye alikuwa anachimbia lakini wapi?Kwakweli kwenye Covid - 19 Rais Magufuli alisaidia sana.
Alisemaje?Rejea mahojiano ya H.E Dr. SSH kwenye the Royal Tour
Alidokeza kilichomuua JPM. Na Dunia ilisikia.Alisemaje?
Kwamba alisema na kukusudia kuwa Magufuli alikufa kwa corona?Alidokeza kilichomuua JPM. Na Dunia ilisikia.
Kama unaelewa English vizuri tatuta FILAMU YA ROYAL TOUR (Silikiza kuanzia 09:26 Min)Kwamba alisema na kukusudia kuwa Magufuli alikufa kwa corona?
Nilikiona mkuu kipande nkijua.Kama unaelewa English vizuri tatuta FILAMU YA ROYAL TOUR (Silikiza kuanzia 09:26 Min)