Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😁Kwa sisi wenye ukomavu wa nywele lazima tuzingatie brand hiko kiwembe cha wachina tunaweza kununua hata viwembe vitano ndo nywele zinakatika tena hizo za kwapa tuMkuu,hadi kiwembe unazingatia brand 🙌🙌
AiseeMkuu,hadi kiwembe unazingatia brand 🙌🙌
Haya maisha bhana.Ivi wachina mbonaa wanatusababishia hasara, ona leo nataka ninunue wembe wa dorco nimeishia kununua sijui ushenzi gani.
View attachment 2662408
View attachment 2662411
Hahaha hajui huyo watu tuna nywele ngumuu ka steel wire😅😅😁Kwa sisi wenye ukomavu wa nywele lazima tuzingatie brand hiko kiwembe cha wachina tunaweza kununua hata viwembe vitano ndo nywele zinakatika tena hizo za kwapa tu
Shidaa huyu mchina ataigaa coverNchi hai product hata sindano duuh nchi ngumu sana hii
Anajua wote nywele zetu laini laini😁😁Hahaha hajui huyo watu tuna nywele ngumuu ka steel wire
Shidaa huyu mchina ataigaa cover
Nenda pharmacy au supermaket....nunua shaving cream, unapaka hapo kwapani na huko bondeni unatulia dakika tano, chukua kitamba chenye maji unafuta tu nywele zote chini kipara swafi kabisa😅😅😁Kwa sisi wenye ukomavu wa nywele lazima tuzingatie brand hiko kiwembe cha wachina tunaweza kununua hata viwembe vitano ndo nywele zinakatika tena hizo za kwapa tu
Aaaah hivi havnaga madhara hvo mkuuu maan huwaga naonaga jau kutumiaNenda pharmacy au supermaket....nunua shaving cream, unapaka hapo kwapana na huko bondeni unatulia dakika tano, chukua kitamba chenye maji unafuta tu nywele zote chini kipara swafi kabisa