Wachina Kariakoo wanakwepa kodi sijapata kuona


kwa maoni yangu mashine za EFD sio za kuuzia wafanya biashara bali wapewe bure kwani watazitumia kuitengenezea malato serikali.

waliozinunua kwa rushwa ili kuwabamiza wafanyabiashara, magufuri atumbue tu majipu hayo
 

Tatizo sio.mchina tatizo ni mfumo mbovu wa ccm, ndio ulio tufikisha hapa, imagine katika laki tatu 20 elfu ilikuwa iyende kwa serikali, sasa kwa siku kiasi gani serikali inakosa?
Ni wakati wa kuibana serikali kushughulikia mianya yote ya kutolipa kodi. Vat.
 

Katika laki tatu kodi ni 54000 sio elf 20. Hawa watu wanaiba Pesa kubwa. Ukiachilia mbali hiyo VAT anakwepa kulipa kodi ya pato maana huwezi jua anaingiza kiasi gani. Sana sana anakadiriwa kodi ndogo baada ya kuhonga au watakokotoa mauzo kulingana na kiwango cha mauzo ambayo ataamua kukatia risiti
 
I wish kila mtu angekuwa anafikiri kama ww ktka maswala ya kodi tungekuwa mbali.
 
Muone kaimu kamishna mkuu wa TRA umpe ili somo na huo ushahidi,naamin unaweza kulikomboa taifa
 
Kwa hio wenye matatizo ni wachina , wapemba na wahindi ? wale wakinga , wachaga , wasambaa na wengine wao wanatoa risiti ?
una mtindio wa kibaguzi. Tatizo hilo ni kubwa Kariakoo na viduka vyote Tanzania. sio kwa kabila fulani
 
TRA waongezewe bajet kubwa ya uhamasishaji hadi watu wengi wajue umuhim wa risit halali. sielewi kwanini kitengo cha matangazo na uhamasishaj huwa kinajikita kubandika makaratas ofisin tu na hali unakuta bajet kubwa imeelekezwa kwa mambo ya UKIMWI ambapo watu wanazika wafu wao na bado hawashtuki gonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…