copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,232
- 2,362
Wachina walivyojazana kwenye mitaa ya Marekani wakipiga deiwaka, kwenu mnaoijua mitaa ya China nako Wamarekani wamejazana huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana hujui hata umeandika nini, Bruce Lee ni Mmarekani na kaburi lake lipo Marekani.Wachina walivyojazana kwenye mitaa ya Marekani wakipiga deiwaka, kwenu mnaoijua mitaa ya China nako Wamarekani wamejazana huko?
Username yako imeanza na Dr. na kumalizia PhD. Katikati kuna Matola. Kijijini kwetu Matola ni mavi.Inawezekana hujui hata umeandika nini, Bruce Lee ni Mmarekani na kaburi lake lipo Marekani.
Ukijuwa population ya Wahindi na Wachina huwezi kuandika huu ujinga kushangaa watu hawa kuwepo duniani kote.
Marekani kuna Chines town, hii maana yake ni jamii inayotambulika Marekani.
Raia wa marekani wapo China lakini population haiwezi fanana na Chinese people waliopo US kwa sababu China ina watu wengi tofauti na US.Wachina walivyojazana kwenye mitaa ya Marekani wakipiga deiwaka, kwenu mnaoijua mitaa ya China nako Wamarekani wamejazana huko?
Hujamjibu ila umemjibu kishabiki tu. China pamoja na kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake wengi sana bado wanaishi chini ya mstari wa umaskini na ndio maana wengine wanakuja hata kufanya umachinga huku kwetu.Inawezekana hujui hata umeandika nini, Bruce Lee ni Mmarekani na kaburi lake lipo Marekani.
Ukijuwa population ya Wahindi na Wachina huwezi kuandika huu ujinga kushangaa watu hawa kuwepo duniani kote.
Marekani kuna Chines town, hii maana yake ni jamii inayotambulika Marekani.
Kwahiyo unataka tuwaite wawekezaji hawa wanaoleta ma dude ya kamali yale? Hao ni wababaishaji tu hata kama kwao wametuzidi uchumi.Utanisamehe kama ntakuhudh inaonekana unatumia akili za kukalilishwa vitu vingine jiongeze au jiulize mtu unamuita maskini hiyo unaemuita maskini anawezajepata nauli ya kutoka china to tanzania kupiga uchinga bado unaamini wale ni machinga kweli toka usingizini wengine wanaviwanda feki wengine nimakala wanatumwa kuja bongo kusona tamafuni na uzaifu wetu kisha wanatuletea matilio feki kisa wameyapamba leo ukienda kwenye sebule ya tajili utakuta kabati feki kisa imenakshiwa lakini ile og ya ubao wetu og hatuitaki sisi bado sana kumuita mchina machinga bongo
Kwani lengo la hii thd yako ni lipi hasa?Username yako imeanza na Dr. na kumalizia PhD. Katikati kuna Matola. Kijijini kwetu Matola ni mavi.
Mzee si ungeuliza? Kwani kuwepo Wachina-Wamarekani kunazuia Wachina wasioWamarekani kwenda kutafuta maisha? Kama unahitaji nyama zaidi kwenye andiko langu si ungeuliza? Poor Makimba.
Username yako imeanza na Dr. na kumalizia PhD. Katikati kuna Matola. Kijijini kwetu Matola ni mavi.
Mzee si ungeuliza? Kwani kuwepo Wachina-Wamarekani kunazuia Wachina wasioWamarekani kwenda kutafuta maisha? Kama unahitaji nyama zaidi kwenye andiko langu si ungeuliza? Poor Makimba.
Watu wengi huamini China maisha ni poa kwa kuangalia Shanghai, Hongkong, Macau, Guangzhou, YiwuHujamjibu ila umemjibu kishabiki tu. China pamoja na kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake wengi sana bado wanaishi chini ya mstari wa umaskini na ndio maana wengine wanakuja hata kufanya umachinga huku kwetu.
Wakati huohuo serikali yao eti inahangaika kutafuta namna ya kutaka kwenda mwezini. Bure kabisa.
Hv umeelewa kwanza thread ? Kwann marekan hakuna american town ? Hv hao wachina wa marekan asili yao ni marekan ? Kwann walitoka kwao wakaenda Marekan ? Hilo ndo swaliInawezekana hujui hata umeandika nini, Bruce Lee ni Mmarekani na kaburi lake lipo Marekani.
Ukijuwa population ya Wahindi na Wachina huwezi kuandika huu ujinga kushangaa watu hawa kuwepo duniani kote.
Marekani kuna Chines town, hii maana yake ni jamii inayotambulika Marekani.
Mbona sisi tupo china wengi kuliko wachina waliopo Bongo ? Ukipata jibu utaelewa ulichojibu hapo bado sio jibu la mwisho , watu hawajazan sehem bila mpangoRaia wa marekani wapo China lakini population haiwezi fanana na Chinese people waliopo US kwa sababu China ina watu wengi tofauti na US.
Lipi jibu lako ?Mbona sisi tupo china wengi kuliko wachina waliopo Bongo ? Ukipata jibu utaelewa ulichojibu hapo bado sio jibu la mwisho , watu hawajazan sehem bila mpango
Nmekosoa jibu lako , so tafuta jibu jingine la kuwafanya wachina kuwa wengi ndan ya USA kuliko wa USA kuwa wengi huko ChinaLipi jibu lako ?
Sasa kama wewe huna jibu kwa nini wasema maoni yangu sio sahihi ?Nmekosoa jibu lako , so tafuta jibu jingine la kuwafanya wachina kuwa wengi ndan ya USA kuliko wa USA kuwa wengi huko China
Kama hautajali kwanza tufafanulie maneno kuishi chini ya mstari wa umaskiniChina pamoja na kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake wengi sana bado wanaishi chini ya mstari wa umaskini
Mimi binafsi sijawahi kumuona Mchina mmachinga K/koo zaidi ya wao kuja na bidhaa na kufanya kazi na wafanyabiashara Watanzania mfano kama za commission.maana wengine wanakuja hata kufanya umachinga huku kwetu.
Wachina walishapeleka spacecraft mwezini wanachotaka sasa ni kumpeleka binadamu mwezini.Wakati huohuo serikali yao eti inahangaika kutafuta namna ya kutaka kwenda mwezini