Wachina kujenga Dubai ndogo ya Tanzania Ubungo

Wachina kujenga Dubai ndogo ya Tanzania Ubungo

Sasa wakenya masikini wa Mungu hawa hata stand hawana.

Atakae bisha aniwekee hapa picture ya stand ya mabus ya mikoani Nairobi
 
Hui udaku.
Mara standar gage
Mara Bombadia
Khaa fix kwenda mbele
 
130527173525-tatu-city-africa-urban-future-horizontal-large-gallery.jpg

An artistic impression of Tatu City, Kenya's largest industrial park worth $2.3 million. (Courtesy)
utakuwa unamaanisha 2.3 billion,
 
sasa tulie nini...hii ni kama tu drop kwa zile project wakenya wanafanya...
 
Yaani kituo cha mayutong ndio kiifanye Ubungo kugeuka kuwa Dubai...teh teh!!!
 
Blaa blaa nyingi sana hapa bongo,kigamboni imeyeyuka,kurasini,bagamoyo Mara kituo cha mayutong etc,hebu tuwe na vipaombele na tuvitekeleze sio maneno tuu
 
Wazo zuri kama ni kweli na hii itasaidia kushusha bei ya pango za nyumba za biashara maeneo mengine
 
Kuna msanii kaimba anataka kuinunua dar afanye hivyo mapema hata kama hela haitoshi nitamuongezea
 
Mbona hawajengi mbagala vitu kama hivi....[HASHTAG]#SHAME[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom