Wachina: Mama ukifika nyumbani wasalimie Kikwete na Ridhiwani

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Hayo ndiyo yalikuwa maneno ya mwisho kupewa mama pale airport wakati anaagwa na wenyeji wake na kutakiwa safari njema na viongozi wa juu wa chama cha kikomunisti na serikali ya China.

Bila shaka Wachina wanapata taarifa za uchapakazi wa Ridhiwani katika nafasi yake ya ubunge.
 
Hii ndiyo akili ya CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…