Wachina wakataa kutumia mchanga wa Kenya katika ujenzi wa SGR, watumia mchanga toka China.

Wachina wakataa kutumia mchanga wa Kenya katika ujenzi wa SGR, watumia mchanga toka China.

Ntauliza tena, hivi wewe mleta mada huwa unafungua hizi links ambazo huwa unazitupia humu? Kama ni kiingereza kinakukanganya omba usaidizi. Wachina wameacha kutumia mchanga ambao huwa unavunwa kutoka kwenye mito, badala yake wameibuka na mbinu mpya ya kusaga mawe ambayo yanapatikana kule Bonde la Ufa, Kenya. Kulingana na hiyo taarifa kwenye link yako. Rift Valley/Bonde la Ufa ipo Afrika sio China kule Asia na hakuna mchanga wa kichina ambao unasafirishwa kuja Kenya. Rudi shuleni jombaa, hata gumbaru pia ni shule, usife moyo. Kwa wote waliocomment kabla ya kubofya kwenye hiyo link hapo juu na kujisomea taarifa wao wenyewe, badilikeni wajomba zangu.
 
Ntauliza tena, hivi wewe mleta mada huwa unafungua hizi links ambazo huwa unazitupia humu? Kama ni kiingereza kinakukanganya omba usaidizi. Wachina wameacha kutumia mchanga ambao huwa unavunwa kutoka kwenye mito, badala yake wameibuka na mbinu mpya ya kusaga mawe ambayo yanapatikana kule Bonde la Ufa, Kenya. Rift Valley/Bonde la Ufa ipo Afrika sio China kule Asia na hakuna mchanga wa kichina ambao unasafirishwa kuja Kenya. Rudi shuleni jombaa, hata gumbaru pia ni shule, usife moyo. Kwa wote waliocomment kabla ya kubofya kwenye hiyo link hapo juu na kujisomea taarifa wao wenyewe, badilikeni wajomba zangu.
Yaani hadi mchanga unaagizwa china? Hehehe😂😂😂😂
 
Sasa kama cement analeta yake, utamkataza kwenye mchanga? 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom