Wachina wakimwagilia Uwanja wa Taifa kwa Ajili ya Mechi ya Nkana FC

Hao siyo wanasimba, ni Vyura wamejikamofleji usimba ili ionekane simba wanaroga, ingekuwa kweli picha tusingeiona maana hakuna mlozi atakubali kufanya zindiko mbele kamera.

Aibu kwa vyuraaaa
 
Jezi hazina nembo ya Sportpesa. Kwahyo hyo pic sio ya two years ago it Approximately to 3 or 4 yrs ago
 
Jezi hazina nembo ya Sportpesa. Kwahyo hyo pic sio ya two years ago it Approximately to 3 or 4 yrs ago
Madera si ndio zilikuwa jezi zenh msimu ulopita?
 
Hao siyo wanasimba, ni Vyura wamejikamofleji usimba ili ionekane simba wanaroga, ingekuwa kweli picha tusingeiona maana hakuna mlozi atakubali kufanya zindiko mbele kamera.

Aibu kwa vyuraaaaView attachment 974587
Na sisi kama mashabiki wa NKANA FC wa mkopo tulikuwa tunalinda uwanja ndipo wachina wenye nguo nyekundu wakaingia na kuanza kuchimba mashimo na kufukia Nyasi Bandia uwanjani.

[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…