Wachina wakimwagilia Uwanja wa Taifa kwa Ajili ya Mechi ya Nkana FC

Wachina wakimwagilia Uwanja wa Taifa kwa Ajili ya Mechi ya Nkana FC

Haijalishi picha ni ya lini,
ili tufike walipo wenzetu tuache kabisa imani za kishirikina na ulozi michezoni full stop.
 
Ni sawa tu.Wewe unadhani ni kwanini Nkana hupendelea kuwapeleka wapinzani wao uwanja wa Kitwe ilhali kuna viwanja vizuri kuliko huo pale Zambia?
 
Leta nyoro yako kesho baada ya mpira. Sasa kila kichaa ana haki ya kusema.
 
Back
Top Bottom