Wachina walilia serikali yao waondolewe Kenya

Wachina walilia serikali yao waondolewe Kenya

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Kama ilivyo kawaida ya kenya ile tabia yao ya kwamba kila kitu kinzuri ni cha kwao, hatimaye wamefanikiwa kuwapiku wachina, kwani wanadai ugonjwa wa corona umeanzia kwao na ni mali yao, na sasa hawauiti corona virus au Wuhani virus bali unaitwa Nairobi virus.

Wachina bahada ya kugundua njama hizo za kupokonywa hati miliki ya ugonjwa huo ilibidi waende mahakamani kuomba kibali cha kuondoka nchini kenya kwani hawawahamini tena Wakenya.

Capture.PNG
 

Attachments

  • PSX_20200614_130834.jpg
    PSX_20200614_130834.jpg
    73.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom