Wachina wanaongoza kwa uchafu

Wachina wanaongoza kwa uchafu

Nyie hamkai hapo majani yanawahusu Nini tafuta kazi za kufanya binti,

Siku wakihama nani ataingia kwenye nyumba chafu? Gharama za ku fix walivyovunja inatoka kwa nani? Hamna kitu kinakera kama kupangisha mtu halafu siku anaondoka anakuachia hasara ya kutosha
 
Habari za asubuhi Wana JF,

Leo ni malalamiko kidogo kwa Hawa ndugu zetu wachina. Mzee ana nyumba mkoa X hii ni nyumba ya kupangisha nyumba kubwa ya kisasa na ina fensi ipo mazingira mazuri kupata mpangaji sio shida.

Kuna wachina tuliwapangisha Wana Kama miezi mitano, kwenye pango wako vizuri wanalipa million 9 kwa mwaka.

Shida ni wachafu nyumba haitamaniki, Ina nyasi kubwa nje na ndani, sio watunzaji wazuri wa nyumba hadi dirisha la aluminium washavunja kioo wakati wanaishi bila mtoto wala mke.

Vyakula vyao wanamwaga tu ovyo, nyumba miezi mitano tu ishachakaa ndani kunatoa harufu Kali.


Imebidi tumuajiri mtu kwa ajili ya usafi.

Naomba kuwasilishaa....
1.Achana na nyumba ya mzee wako, kajenge ya kwako upangishe wasafi

2. Mmechukua fweza m9 yao nendeni wenyewe mkawambie wafanye usafi muache uoga.

3. Kupagisha nyumba kwa kipindi wa mkataba mliokubaliana ni kama umeiuza nyumba hiyo kwa muda, hata akitaka kufugia nyoka humo au kunya ndani, we hayakuhusu vinginevyo vunja mkataba.

4.We unataka wachina wakupatie m9 then nyumba ibaki kama ilivyokuwa ili pesa yote ukanunulie vijora?
Tenga 30 % kwa ajiri ya ukarabati na running cost zingine.

Sasa we mung'unya hiyo m9 zote kwa kuhonga huko chuo uone kazi ilivyo kazi kupata kazi.
 
Ni wachafu kweli mtoa mada hajadanganya,

Wanaogopa kuweka wafanya usafi hasa ndani sababu wanahofia kuibiwa, kuchunguzwa nk
Vijamaa ni vichafu sio siri
 
Ni wachafu kweli mtoa mada hajadanganya,

Wanaogopa kuweka wafanya usafi hasa ndani sababu wanahofia kuibiwa, kuchunguzwa nk
Vijamaa ni vichafu sio siri
Umeongea ukweri mkuu wengi hawaelewi, wanaogopa kuibiwa sana
 
Wachina ni wachafu sana, kwanza ni watu wa kutema tema mate hovyo, kufuta makohozi na kuyatema kwa kuyarusha, kujamba hovyo...

Hao washenzi wanatema mimate iwe airport, supermarket, restaurant n.k...

Wananuka miili, midomo ndio usiseme kama vile harufu ya vitunguu swaumu vilivyoanza kuchacha...

Jiandaeni tu kuja kukarabati nyumba kwa upya watapoondoka hapo...
Anaweza ikuta nyumba walishaimodify kuwa kiwanda cha manati.
 
Back
Top Bottom