Wachoma nyama Arusha kupewa majiko yanayotumia nishati safi

Wachoma nyama Arusha kupewa majiko yanayotumia nishati safi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katika hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wachoma nyama mkoani Arusha wameahidiwa kupewa majiko yanayotumia nishati safi kwa ajili ya kazi yao.

1741353802159.png
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Machi 7, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati akikagua maandalizi ya nyama choma kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa yatafanyika jijini hapa kesho Machi 8.

Makonda amesema miongoni mwa sababu ya athari ya mabadiliko ya tabianchi ni ukataji holela wa miti kwa ajili ya shughuli za kibinadamu ikiwamo uchomaji mkaa, hivyo ofisi yake itagawa majiko ya nishati safi ili kukabiliana na hilo.
 
Katika hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wachoma nyama mkoani Arusha wameahidiwa kupewa majiko yanayotumia nishati safi kwa ajili ya kazi yao.

Hayo yamesemwa leo Ijumaa Machi 7, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati akikagua maandalizi ya nyama choma kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa yatafanyika jijini hapa kesho Machi 8.

Makonda amesema miongoni mwa sababu ya athari ya mabadiliko ya tabianchi ni ukataji holela wa miti kwa ajili ya shughuli za kibinadamu ikiwamo uchomaji mkaa, hivyo ofisi yake itagawa majiko ya nishati safi ili kukabiliana na hilo.
Huku ndio kuanza kampeni mapema kabla ya wakati
 
..ukiwalazimisha wachome nyama tofauti na zilivyochomwa na wazee wao utaharibu maarifa, na utamaduni mzima, wa uchomaji nyama.

.
 
..ukiwalazimisha wachome nyama tofauti na zilivyochomwa na wazee wao utaharibu maarifa, na utamaduni mzima, wa uchomaji nyama.

.
Badilika wewe

Wazee wa zamani wakichoma nyama walikuwa wakitumia majiko ya chuma kama sasa?

Kwa hiyo kama wazee wa zamani walivaa magome ya miti na wewe sasa usivae nguo?
 
Badilika wewe

Wazee wa zamani wakichoma nyama walikuwa wakitumia majiko ya chuma kama sasa?

Kwa hiyo kama wazee wa zamani walivaa magome ya miti na wewe sasa usivae nguo?

..ukichoma hizo nyama tofauti na zilivyopata umaarufu unapoteza uhalisia wake.
 
Katika hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wachoma nyama mkoani Arusha wameahidiwa kupewa majiko yanayotumia nishati safi kwa ajili ya kazi yao.

Hayo yamesemwa leo Ijumaa Machi 7, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati akikagua maandalizi ya nyama choma kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa yatafanyika jijini hapa kesho Machi 8.

Makonda amesema miongoni mwa sababu ya athari ya mabadiliko ya tabianchi ni ukataji holela wa miti kwa ajili ya shughuli za kibinadamu ikiwamo uchomaji mkaa, hivyo ofisi yake itagawa majiko ya nishati safi ili kukabiliana na hilo.
Macho na masikio yetu yameelekezwa Dabby ya Kariakoo kwanza huko ni baadae.
 
..ukichoma hizo nyama tofauti na zilivyopata umaarufu unapoteza uhalisia wake.
Uhalisia wa nyama choma ni mdomoni sio moto uliochoma nyama Wala nyama ndio wanatakiwa kuongea kama ladha sawa au la sio moto ulio choma nyama
 
Katika hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wachoma nyama mkoani Arusha wameahidiwa kupewa majiko yanayotumia nishati safi kwa ajili ya kazi yao.

Hayo yamesemwa leo Ijumaa Machi 7, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati akikagua maandalizi ya nyama choma kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa yatafanyika jijini hapa kesho Machi 8.

Makonda amesema miongoni mwa sababu ya athari ya mabadiliko ya tabianchi ni ukataji holela wa miti kwa ajili ya shughuli za kibinadamu ikiwamo uchomaji mkaa, hivyo ofisi yake itagawa majiko ya nishati safi ili kukabiliana na hilo.
Mlipaswa kuanza Tanga kwenye ubwabwa mliopika na kuni 🤣🤣🤣🤣lini mtaacha utapeli
 

Attachments

  • 5985651-3fc1c39d853655d05d027be3187df3f2.mp4
    2.9 MB
Back
Top Bottom