iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Jibu ni kwamba hawapo zilikuwa tu storyHakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya kubaini Kuna wachezaji walihujumu timu siku tuliyopigwa 5-1
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani
msiende mpk waseme...Hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya kubaini Kuna wachezaji walihujumu timu siku tuliyopigwa 5-1
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani.
Itakuwa, ili kuwazuga Mbumbumbu.Labda ilikuwa Kiki
Viongozi wenu wameonekana India wakisaka kocha.Hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya kubaini Kuna wachezaji walihujumu timu siku tuliyopigwa 5-1
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani.
Hakuna mchezaji aliyehujumu... Ule mkono ulikuwa wa halal kabisa... Achen visingizioHakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya kubaini Kuna wachezaji walihujumu timu siku tuliyopigwa 5-1
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani.
Na wewe ukabebwa na propaganda za kihuni eti kuna mchezaji kahujumu timu?Hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya kubaini Kuna wachezaji walihujumu timu siku tuliyopigwa 5-1
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani.
Hawa wote ni timu dhaifu kwa Yanga, hakuna hujuma yoyote.Hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya kubaini Kuna wachezaji walihujumu timu siku tuliyopigwa 5-1
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani.