iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya kubaini Kuna wachezaji walihujumu timu siku tuliyopigwa 5-1
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani.
Hii imesababisha mashabiki tumate tamaa na tusiwe na Shaka yeyote kuwa viongozi tulionao ni mamluki.
Hatuendi uwanjani.