ni ushauri tu my dear,wawe kama wewe tu chop chop money pesa kitu gani bwana?sio kila unachokipenda wewe, na mwingine hatakipenda...
Hupendi kuambiwa don't mpesa or tigopesa me, lakini kwa mwanamke mwingine hiyo kwake ni credit ya kupata mwanaume wa ndoto zake...
Vilevile ni taadhari kabla ya hatari maana wapo wanawake aambao kutwa ni kuwinda "chapaa" za wanaume, hivyo kwa kuwa mtu anatafuta mwenzi kwa njia ya mtandao hiyo ni encounter nzuri tu kuepusha msongamano.
Hivyo smile usilazimishe watu kuamini unachoamini, acha watu wafungunke na wajulikane rangi zao.
Smile wala usipate tabu wa aina hii unamwambia ailale buku kumi yake toooooooooop!
kwani alikukuta huli wala huvai ama alikukuta unaa mtaroni.
mwanaume mwenye mapenzi ya kweli wala hela kwake sio ishu kidogo alichonacho atashea na mwenzie, ukiona aniona hela yake tamu basi aiambaie impe utamu.
sio mimi sis kuna mdau nimemkuta anamind Madam X .mimi mtu wangu yupo fresh tu even tho nilimpata hapa hatuna habari na hela sieSmile wala usipate tabu wa aina hii unamwambia ailale buku kumi yake toooooooooop!
kwani alikukuta huli wala huvai ama alikukuta unaa mtaroni.
mwanaume mwenye mapenzi ya kweli wala hela kwake sio ishu kidogo alichonacho atashea na mwenzie, ukiona aniona hela yake tamu basi aiambaie impe utamu.
really?Mmmh mi sidhan kama Mwanamke anapenda pasipo pesa
marahaba mamii. mzima wewe na mwanagu??
Hili nalo neno! sina comment kwa kweli ila message sent...Ni ushauri tukuna hii tabia ya wakaka /wababa/wazee wanaotoa matangazo yao ya kutafuta wachumba humu mtu anatiritika sifa za amtakae then kuna hiki kipengele mnakipenda sana sijui ndo wimbo wa taifa kwenu? Oooh asiwe anapiga mizinga ooh dont mpesa me,or dont tigo pesa or airtel money me???? Khaaa mnajihami nini ? Ulishampesa na kutigopesa wangapi? Nani kasema ana shida na pesa by the way kama hela ni issue na unazo si zingekupa partner siku zote? Mbona unakuja kutulilia pm hapahuko ni kuogopa majukumu,kuwa simple sio wanawake wote wapo kiiivo ila ukishatanguliza umimi umimi katika vitu vyako unajipunguzia maksi,changu changu hela zangu hela zangu kaa nazo basi!Wala hamna mtu mwenye time na hela zenu wanawake wanapenda mapenzi ya dhati na sio pesa ,hata sisi tunatafutachorusOn his death bed, Alexander summoned his generals and told them his threeultimate wishes: 1. The best doctors should carry his coffin; 2. The wealth he has accumulated (money, gold, precious stones ) should be scattered along the procession to the cemetery, and 3. His hands should be let loose, hanging outside the coffin for all to see!! One of his general who was surprised by these unusual re...quests asked Alexander to explain. Here is what Alexander the Great had to say: 1. I want the best doctors to carry my coffin to demonstrate that, in the face of death, even the best doctors in the world have no power to heal; 2. I want the road to be covered with my treasure so that everybody sees that material wealth acquired on earth, stays on earth... 3. I want my hands to swing in the wind, so that people understand that we come to this world empty handed and we leave this world empty handed
wanakaba qualification ya kwanza ,hataki kujua umri,wala dini wala taifa wala upendo.
,dont mpesa me ,dont tigo pesa me khaaa imekuwa ugomvi?
chorusOn his death bed, Alexander summoned his generals and told them his threeultimate wishes:
1. The best doctors should carry his coffin;
2. The wealth he has accumulated (money, gold, precious stones ) should be scattered along the procession to the cemetery, and
3. His hands should be let loose, hanging outside the coffin for all to see!!
One of his general who was surprised by these unusual re...quests asked Alexander to explain. Here is what Alexander the Great had to say:
1. I want the best doctors to carry my coffin to demonstrate that, in the face of death, even the best doctors in the world have no power to heal;
2. I want the road to be covered with my treasure so that everybody sees that material wealth acquired on earth, stays on earth...
3. I want my hands to swing in the wind, so that people understand that we come to this world empty handed and we leave this world empty handed
Hivi na wewe kumbe upo kwenye kundi la wanaotafuta maisha?Tangu nimeanza kutafuta pesa sijawahi zishika, nifanyeje?
Wahongaji nao ndo hawa, tutakula polisi mwaka huu
Simple mathematics, nenda Jolly club ukauze mwili wako, wateja rukuki na wenzako wanaouza miili yao utawakuta pale.
Hivi na wewe kumbe upo kwenye kundi la wanaotafuta maisha?
Wenzako tunaishi mambo ya kutafuta maisha tuliishaachana nayo hayana maana yoyote ya uwepo wako Duniani. ISHI.
Simple mathematics, nenda Jolly club ukauze mwili wako, wateja rukuki na wenzako wanaouza miili yao utawakuta pale.