Wachumi Kenya wadai reli mpya haitailipa nchi hiyo, na yenyewe Itajiuza kwa China kulipa deni lake?

Wachumi Kenya wadai reli mpya haitailipa nchi hiyo, na yenyewe Itajiuza kwa China kulipa deni lake?

"pesa hizo zingetumika kufadhili kilimo" pure Afrixcan thinking....thats why we are underdeveloped...we just think agriculture...
wewe ndo una poor thinking!! unatambua matairi ya magari ni kutoka na rubber plant, kamaba za lift na parts za magari ni sisal, unajua bei ya soya beans kwenye soko la dunia wewe, unajua canada wanaingiza shingapi kwenye timber exports.....
acha kukariri...kilimo sio matikiti na nyanya
 
how would you move the agricultural produce to the market or for processing
you need transport infrastructure ,advanced logistics
both Intermodal and Multimodal
which produce? unajenga reli sawa... iyo production ipo...kwa upande wa usafirishaji mizigo... barabara kwa sasa zinajitosheleza...
 
Government economists have already said in 4 -8yrs Kenya will have repaid its SGR LOAN

the good thing is All of u will be here with some other spin to that story then 2021-25.....as u have been since 2009...
 
"pesa hizo zingetumika kufadhili kilimo" pure Afrixcan thinking....thats why we are underdeveloped...we just think agriculture...
Well i agree with that i dont blame or fault jubilees borrowing tactics its briliant we need to borrow to develop....lakini agriculture would be nice...

Israels has 1mn acres of cultivatable land and out of that land it makes 36bn$ yearly in Gdp of Agriculture and Agric related Products

Galana is 1.78 mn acres so technically it would have been nicer if galana were operational rather than SGR but we are not particularly in a position to make such choices ...


Whole SGR IS 13bn$ enough to see 12mn acres of land under irrigation

So say the govet would have instead focused on Irrigation of 7mn acres and build a 500km rail from Tana to Mombasa

We would be a bulk producer of Grains
Maize
Wheat
Soy
Beans
Rice
Etc

Beef
Lamb meat etc alafu this small scale farmers in southern Kenya
Ie Central Coast Nyanza Western
GOVERNMent concentrates on Cash crop Fish and Horticulture Dairy etcs

If we Produce
20mn tonnes of maize seasonally
Like SA IS AT 26mn tonnes yearly without irrigation
7-10mn tonnes of wheat

30mn heads of sheep yearly (Newzealand is at 56mn and its 20% the size of Kenya)

5mn heads of cattle for beef
(Botswana is at 600k and it has only 2mn people)

And appropriate 1-3mn dairy cattles
Morocco produces 1.5mn tonnes of fish
SA produces 560,000 tonnes
Namibia 456000 tonnes

Kenya has a capacity for 450,000 tonnes yearly but we produce 34,000tonnes from Both Victoria Indian ocean and Turkana (turkana being the largest)
Tanzania produces 64,000 tonnes yearly from indian ocean alone

Titakuwa largest Agric exporter in Africa

We could be netting 30-50bn $ yearly in Agric export yearly but tuko at 3bn$ due to under utilization of knowledge

IN SA the average per capita per acre ya Potato production ni 23tons
Kenya ni 8tons

Tomatoes per acre SA ni 65-74tons
Kenya ni 18tons per acre -we dont use our agric knowledge at all


In Kenya if a farmer Produces more than 10-15 bags of maize per acre utaanza kuskia ni uchawi

Egypt and Sudan average ni 38bags per acre....

We sleeping majorly in Kenya Since i ventured into Agric Fullscale nimeona nka staajabia ya Firauni Africa Pekee......the amount of Initial capital thay goes into farming in Some of this countries will shock you mse ako na acre kumi anaweka 300000$ in initial investment ku buy a nitrogen liquid etc anatoa 800000$ from the same 10acres Kenya unakuja unaona visanga shambani as long as uko na jembe na mbegu baaas!! That aint farming my fren ...anyway what was the topic again?
 
how would you move the agricultural produce to the market or for processing
you need transport infrastructure ,advanced logistics
both Intermodal and Multimodal
Wacheni kujitetea....the guy is speaking sense i dont critisize SGR but kama SGR ingekuwa ya Farming Cargo transportation
1. Ingeingia Narok, Nakuru and Eldoret or Tana river or Kajiado u know Farming strongholds in Kenya lakini imepitia out skirts
2. Am a farmer and my fren 4 tomatoes go for 20kshs retail price kwa local kiosk, and about 140kshs a kilo kwa super market but The farmer will sell 64kg Carton (the standard measure in EA for between 12$ in Kisumu 21$ in Nairobi, 51$ In Mombasa and NE ) THAT SGR aint for farmers take it from a commercial farmer i spend like 4-5 weeks on the road looking for market for my products every 3-4months
Viazi gunia ya 110kgs ni 4000 shs december - june The rest of the year ni 1000....the government Haija shughulika kutafutia wakulima market...in SA government huko ime fungua fresh produce market kila province for international sales .....only Dairy na Beef ndio zina a substancial market in Kenya . So SGR is not for the Farmer.


So SGR is great no doubt but Galana would have been nicer
 
Truth be told
Most of the world Treat Africans and By extension Arabs as retards ....

Ona Africa Hatuko UNSC
Angalia how they cover african stories on Their medias its like sisi watoto wametusaidia

China learnt this but instead of making ot obvious it uses reverse psychology on us

This Railway is for OBOR (one belt one road ) to mainly market chinses good in Africa and at the same time allow us albeit small be able to market our goods internationally but the honestly dont think we will soon dominate their market .....you know why

Look how they treat us when they come here

Kama juzi all Kenyans Journalists were Chases out of the First class cabins for Chinese journalists and western media but that news haikupewa limelight juu deputy prime minister wa china alikuwa kenya

If Kenya went to China to borrow a loan on Agriculture of SGR magnitude hyo deal hata haingekuwa tabled kwa bilateral meetings zao juu they know Agriculture is a major Driver of economic Growth largely no one will gve you money to help you produce what the already produce in bulk but they will instead give you Heavy financial assistance to set up shop to sell their products - and this is what the SGR is

It will allow them to sell their products easily but also give ur product a chance sort of -but its like Setting up the largest shop in ur Competitors Back yard who has a smaller shop if you get what i mean....


They will buy all you minerals but will never for one day consider setting up shop withon ur compound to refine thay mineral .....and that is what SGR is

But The Chinese mighy be making one assumption Kenya is not just any other African Country that SGR should be used to benefit kenyans to the maximum and not the Chinese through aggressive but honest business enviroment!!...honestly i think and believe Kenyans are more aggressive than chinamen but we have smaller numbers !!
 
la hasha ila ni mwanafunzi wa economics kenyatta univ...kwa kweli, ile project ni very ambitious especially ukizingatia uchumi wa kenya...the first phase alone cost 3.2BUSD..that is 6 percent of the nations GDP...however, it still makes economic sense...BTW, very few countries have developed without efficient railways such as this one...it is a tremendous risk but one that is worth taking...
What is the fate of those trucks??
 
Well i agree with that i dont blame or fault jubilees borrowing tactics its briliant we need to borrow to develop....lakini agriculture would be nice...

Israels has 1mn acres of cultivatable land and out of that land it makes 36bn$ yearly in Gdp of Agriculture and Agric related Products

Galana is 1.78 mn acres so technically it would have been nicer if galana were operational rather than SGR but we are not particularly in a position to make such choices ...


Whole SGR IS 13bn$ enough to see 12mn acres of land under irrigation

So say the govet would have instead focused on Irrigation of 7mn acres and build a 500km rail from Tana to Mombasa

We would be a bulk producer of Grains
Maize
Wheat
Soy
Beans
Rice
Etc

Beef
Lamb meat etc alafu this small scale farmers in southern Kenya
Ie Central Coast Nyanza Western
GOVERNMent concentrates on Cash crop Fish and Horticulture Dairy etcs

If we Produce
20mn tonnes of maize seasonally
Like SA IS AT 26mn tonnes yearly without irrigation
7-10mn tonnes of wheat

30mn heads of sheep yearly (Newzealand is at 56mn and its 20% the size of Kenya)

5mn heads of cattle for beef
(Botswana is at 600k and it has only 2mn people)

And appropriate 1-3mn dairy cattles
Morocco produces 1.5mn tonnes of fish
SA produces 560,000 tonnes
Namibia 456000 tonnes

Kenya has a capacity for 450,000 tonnes yearly but we produce 34,000tonnes from Both Victoria Indian ocean and Turkana (turkana being the largest)
Tanzania produces 64,000 tonnes yearly from indian ocean alone

Titakuwa largest Agric exporter in Africa

We could be netting 30-50bn $ yearly in Agric export yearly but tuko at 3bn$ due to under utilization of knowledge

IN SA the average per capita per acre ya Potato production ni 23tons
Kenya ni 8tons

Tomatoes per acre SA ni 65-74tons
Kenya ni 18tons per acre -we dont use our agric knowledge at all


In Kenya if a farmer Produces more than 10-15 bags of maize per acre utaanza kuskia ni uchawi

Egypt and Sudan average ni 38bags per acre....

We sleeping majorly in Kenya Since i ventured into Agric Fullscale nimeona nka staajabia ya Firauni Africa Pekee......the amount of Initial capital thay goes into farming in Some of this countries will shock you mse ako na acre kumi anaweka 300000$ in initial investment ku buy a nitrogen liquid etc anatoa 800000$ from the same 10acres Kenya unakuja unaona visanga shambani as long as uko na jembe na mbegu baaas!! That aint farming my fren ...anyway what was the topic again?
I like the way you analyse with mere facts!

It's the ugly truth that not only Kenya needs to face, but also my lovely Tanzania!

Ukiangalia historia ya ukuaji wa uchumi wa mataifa ya ulaya na marekani utagundua kua it was a sequential development from political revolution, to agrarian revolution (agriculture), and then to industrial revolution!

Sisi tunataka kuruka stage, eti tuwe industrialized without agricultural development, it's a big LIE!

Nchi pekee zilizoendelea bila agriculture ni zile ambazo ziliwekeza deep kwenye other primary production sectors like fishing and mining. Huwezi kuwa na viwanda bila raw materials!


The world is starving while Africa still has millions of fertile land for agriculture if not billions!
So, if there is an opportunity for East Africa to rise economically, then it must have something to do with agriculture!

Tupande ngazi moja baada ya nyingine, tukitaka kufika ngazi ya sita bila kupita ya nne na ya tano, tutachanika!

Anyway, what was the topic?
 
Wanasema. SGR ya Kenya Ndio ya kwanza EAC. Nadhani Sio kweli. TAZARA Ni SGR sasa Na hiyo ya Kenya. Men do ni 120km/h na Mizigo Ni 80km/h urefu km 1340 Dar to kapirimposhi Zambia. SAA 14 njiani to zambia
 
I like the way you analyse with mere facts!

It's the ugly truth that not only Kenya needs to face, but also my lovely Tanzania!

Ukiangalia historia ya ukuaji wa uchumi wa mataifa ya ulaya na marekani utagundua kua it was a sequential development from political revolution, to agrarian revolution (agriculture), and then to industrial revolution!

Sisi tunataka kuruka stage, eti tuwe industrialized without agricultural development, it's a big LIE!

Nchi pekee zilizoendelea bila agriculture ni zile ambazo ziliwekeza deep kwenye other primary production sectors like fishing and mining. Huwezi kuwa na viwanda bila raw materials!


The world is starving while Africa still has millions of fertile land for agriculture if not billions!
So, if there is an opportunity for East Africa to rise economically, then it must have something to do with agriculture!

Tupande ngazi moja baada ya nyingine, tukitaka kufika ngazi ya sita bila kupita ya nne na ya tano, tutachanika!

Anyway, what was the topic?
True.....hatuwezi ruka stage atleast not agriculture political revolution inaeza rukwa but agriculture No hyo no essential and besides 70% of Kenyans are farmers

What we dont realize is that Euro Agriculturally is waaaay advance that the smallest Country there can easly outway even SA agriculturally

This people Give each and every Farmer a special identifier to record how much you produce yearly, your targets and Goals census how large is your land and if you see this if we managed even a single province in Kenya with this much Caution We will go far

Like Below
Portugal Agricultural Census
They have the exact number of Farmers in the Country
The amount of land each farmer has
The amount each produces
And they have even set quotas and Subsidies that cater or fit with the farmers needs individually in Kenya this is what we do for Foreign Firms instead of Our own
1496426333435.png

1496426449674.png

Belgium
1496426461990.png
1496426476408.png

Slovakia
1496426516326.png

Greece
1496426538278.png
1496426557415.png


See how small their Shambas are most are between 10 acres to 200acres but look at their out put

For example belgium last year exported 38bn$ in Agricultural goods
 
Na wamesahau pia al shabab ni tishio la SGR wachina wao wanasubiri kulipwa tu
 
Mkuu, ni kweli world bank iliishauri serikali kukarabati iliyopo ili ku save hela?

Mkuu hii mikakati ya nchi za magharibi za kujaribu kuzuia kasi ya China kuingia barani Africa - World Bank stake holders ni hao hao mabepari, Tangu World Bank watoe mikopo kwa nchi zinazoendelea zimefanikiwa kupiga hatua gani kimaendeleo, hakuna? Ni kichekesho kuwananga Wachina ambao ndiyo wamefanikiwa kuiletea Africa maendeleo ya kweli kwenye nyanja nyingi specifically infrastructure, hizi adithi za World Bank kuisema vibaya Uchina huo ni wivu wa kijinga - eti reli za Kichina ni substandard - uongo mtupu mbona Tazara imejengwa karibu miaka hamsini iliyopita na bado ipo imara!! Leo hii wanataka kuwazunga Wakenya kwamba wakarabati reli ya kikoloni yenye gauge ya kizamani hisiyo kuwa na uwezo wa kubebema mizigo mingi na mwendo wa konokono - hivi kweli World Bank wana nia nzuri na Africa.
 
Sipingani na ujenzi wa reli Kenya, lakini nakushauri mambo usiyoyajua uwe unayaacha badala ya kupotosha umma!

Naamini hujui kuwa reli itaanza kujengwa lini hapa, japo najua utakurupuka useme hatuna hela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hujui kuwa hapa kuna sehemu tunatumia hela zetu, za wachina ziko phase nyingine na hizo ambazo zuma alichomekewa ni za phase nyingine ambazo sasa zitakuwa ni za kufika hadi Musoma! Haya yote wewe huyajui!

Kama ulivyosema, Kenya kuna wakosoaji wengi, hata Tanzania ni hivyo hivyo na bahati mbaya wewe ni mzuri wa kuokota taarifa za wakosoaji na kuzishikia kidedea!


Uwe unatulia kwanza!

Kaka masuala ya miradi ya reli EAC nayafahamu kwa undani zaidi ya wengi wenu. Halafu sio kila mkosoaji anakua na nia mbaya, kuna watu wanatumia muda wao kutoa taarifa au kuibua maswali ya msingi na yenye kuelimisha wanaofuatilia, naomba ukiwa na nafasi usome hili bandiko la jamaa Mtanzania kuhusu mradi wenu.
COMPARE & CONTRAST: Turkish vs Chinese Infrastructure (SGR) loan to Tanzania

Kila mwana JF na hasa kwenye hill jukwaa la siasa kufight back against TROLLS from BAVICHA na UVCCM ambao wanakuja hapa na kutuletea threads ambazo hazina tija kwa maendeleo ya hii nchi

Sasa turudi kwenye hii ya SGR na naomba tusaidiane kuchambua huu mradi in out na wengine tutaleta supporting docs from 3rd sources ku support arguments zetu.

Sisi kama members wa Jamiiforums tunawakilisha mawazo ya watanzania zaidi ya milioni 50 na hii imekuwa ikituweka kwenye nafasi ngumu mpaka makamanda wetu sasa hivi wamewekwa ndani na wana pay the price kwa kudiriki kutupatia uhuru wa kutumia hii platform

In the wake Gas projects kama ya Mtwara -Dar, upanuzi wa Bandari ya Dar, Bandari ya Bagamoyo na bila kusahau sasa hivi TANESCO wanawalipa kampuni ya Richmond (na watt wake) shilling milioni 400 per day za walalahoi so its rightly for us to be suspicious of any large infrastructure project proposed by our ruing elites. Silly because of USIRI nd bitter experience of money being "eaten", cost overruns, and white elephants kama ya akina Mtwara Gas n.k

In addition, kuna maswali ambayo lazima tuweke wazi na tunaweza kutumia figures za USD na TSH lakini kunaweza kukawepo mabadiiko as we go along.

Pili kuna generic info ambazo zinaweza kuwa mwongozo wetu kwenye haya mambo:


PROJECT:

Hii project ni kwa ajili ya capacity to finance, design, construct, operate and maintain the proposed 1661km kutoka Dar Es Salaam-Isaka-Kigali/Keza-Musongati (DIIKM) kwa njia ya public-private partnership (PPP).

PROJECT DIVERS

Ma Propagandists wetu (wanasiasa) wamekuwa wakisema the obvious stuff kuwa huu mradi utatufanya tutimize ile Tanzania Vision 2025 (ambayo kwa kiasi kikubwa haiendani na zama tulizo nazo), MKUKUTA etc. Kingine ni Paul Kagame Factor (huyu jamaa ametupatia challenge kubwa ili kutimiza ile ndoto ya kutumia Bandari ya Dar etc). Kingpin ni kupunguza hizo costs za transportation (hii of course inaingilia Cartel ya wanasiasa na ruling elites ambao wana biashara za malori), and the other usual stuff kama kuifanya TZ kuwa ni attractoive for DFI's na kupunguza tariffs per tone-km. Ohh how can I forget kuwa Mr Infrastructure hataki baranara zake ziharibiwe na malori na bila kusahau sera ya Viwanda itakuwa raihisi kutekelezeka....

RELI YA ZAMANI:

Hii project ni mchanganyiko : Kwanza ni kufanya upgrading to the existing 970km narrow-gauge railway from Dar es Salaam to Isaka na ya pili ni construction of a brand new 494km extension to Kigali and a 197km branch from Keza in northwest Tanzania to Musongati in Burundi.

USAGE:

The line will be built primarily for freight trains with a 32.4 tonne axle load proposed although some passenger services will be available (hivyo hapa nadhani manelewa why wanasiasa na matajiri wenye malori wanafanya kila jitihada ku sabotage hii project)

FEASIBILITY STUDY:

mwaka 2014 kampuni makubwa ya reli kama Canarail na Gibb Africa ilifanya (wali update) feasibility study iliyofanywa mwaka 2009 na kampuni ya DB International and BNSF ambazo kwa kiwango kikubwa walihimiza na kusisitiza kuwa serikali yetu inaweza optimize alignments to reduce capital expenditure (na hapa ndiko wapiti dili walikasirika kwani kuna mapesa yako at stake). Hali kadhalika FS report ya CR&GA ilisema kuwa kuna huge potential traffic for the line, kwani hii reli itabeba mizigo ya tani million 10 kwa mwaka ikifika mkwaka na itaendelea mpaka tani milioni 30 ikifika mwaka 2050


SCOPE OF THE WORK

(Nitaleta taarifa zaidi kuhusu hii baadae)

CHALLENGES
Tumeambiwa kuwa kuna challenges nyingi sana kujenga hii reli kama vile ragged terrain ambazo zitakuwa mitigated by long viaducts (hawakuwa specific on how many kilometres), passages kwa wanyama kwenye mbuga nk Pia waliangalia barabara (za zamani na mpya) na pia kuna hao watu wa OSHA nao wanasisitiza kazi ifanywe kwa kuzingatia uslama na afya za wafanyakazi hivyo kutakuwepo kwa senyenge kwenye baadhi ya maeneo kuzuia wanyama nk. Pia kwa kuwa itajengwa kwa standards za kisasa ina maana kutahitajika kuchukua ardhi kubwa zaidi baadhi ya maeneo na itabidi watu walipwe...na hii inaweza kuleta construction delays. Hali kadhalika kutahitajika stations nyingi along the way na bila kusahau mamba ya umeme, maji na vifaa kadhaa wa kadhaa. Pia tusisahau mambo ya locomotives na hizo rolling stock

OPERATIONAL STATS ( data incomplete)

Operational expectations na stats ni estimates lakini list haiku exhaustive hivyo nitajaza kadri muda unavyozidi kwenda.

Load per freight train-4,000 and
Load per passenger train-2,000 passengers
Number of passenger trains-/6 day initially
Average speed freight trains-80 km/hour (?)
Average speed passenger trains-120 km/h (?)
Line capacity-10 million tones/annum
Infrastructure cost (?? )-USD (?)million/km of track (utata mkubwa uko hapa)
Total cost of turnkey project- $7.2 billion (including civil works, facilities, locomotives and rolling stock)

FINANCIALS:

Kifedha serikali ya awamu iliyopita na hii ziko hoi bin taaban, Ndio maana tukalipishwa pesa na TPA/TRA kwa kila bidhaa inayoingia nchini kuchangia ujenzi wa reli na bado tukakwama ndio tukaamua kupeleka kwa Multilateral agencies kama World Bank na Africa Development Bank na bila kusahau Mwakyembe aliened kuongea na Commercial Banks za nje watukopeshe pesa tujenge hii reli.

Option nyingine ilikuwa kwenda kwenye CASH POINT aka BEIJING wa wachina na huu ulikuwa ni ushauri kwa JK kuwa Wa China ni ndugu zetu hivyo tungepewa pesa via EXIM BANK under government-to-government (G2G) arrangement. Pia kipindi kile kulikuwa na mapesa mengi ya miaka 3-5 toka PRC kwa nchi za Africa kupitia mpango wa Forum on China – Africa Corporation (FOCAC) na nakumbuka mwaka jana Makamo wa Rais bibi Samia Suluhu alituwakilisha kwenye mkutano wa FOCAC uliofanyika South Africa.

Basically PRC walitenga kiasi cha USD 20 billion, ambayo ni mapesa ya FOCAC kati ya mwaka 2012 – 2015 kwa jili mikopo kwa nchi za Africa ili ku support baadhi ya miradi ambayo in principle kampuni za kichina (makampuni karibuni yote yao ni ya serikali au ya jeshi lao) kama hao akina CRJE etc wapewe contract kwa njia ya EPC huku Africa na Tanzania ilikuwa ni mmojawapo wa hizo nchi.

Nikirudi nyumba kidogo... mwaka 2014 tuliambiwa na aliyekuwa waziri wa Fedha chini ya serikali ya JK bibi SAADA MKUYA alisema kuwa huu MRADI UTAHITAJI DOLA BILLION 14.2 .

Source:
UPDATE 2-Tanzania to spend $14 bln on railways, eyes regional hub status


Serikali ika introduce import tax kwa jail ya huu mradi pasipo kuwaambia wananchi detailed info on the project na financials na hasa kiasi gani kishapatikana kwenye hiyo kodi toka ilipokuwa introduced . Baada ya hapo kama kawaida yetu yakatokea mazingaombwe ya kila namna yakiongozwa na wapiti dili wakubwa Tanzania (Mawaziri na Wabunge na vijikampuni vyao ambavyo vilikuwa vinawania vipewe subcontracts za kila namna wakati hata hizo pesa za kufanya hiyo project hazijapatikana

Alipoingia Rais Magufuli akapiga chini zile estimate za serikali ya JK za DOLA BILLION 14 na sasa the actual tag ni DOLA BILLION 7.6 sasa hatujaelezwa imewezekana vipi pesa zikapungua kiasi hiko? na zile dola billion 7 za mwanzo ilikuwa ziende kwenye mifuko ya nana?

CHINA Export Import Bank (EXIM BANK) -Kwenye hii tafuteni threads za member mwenzetu PASCO. Alianzisha several threads kadhaa zinazoelezea mikopo hii ya kachina na uhuni unaofanyika

Kumekuwepo kwa propaganda kuwa Tanzania inapt msaada/aid toka bank ya EXIM bank yaChina. Ukweli ni kuwa HATUPATI na HATUJAPATA msaada isipokuwa serikali yetu tukufu iilikuwa ina mango wa kuomba MKOPO wenye riba ya bei nafuu toka serikali ya China. There is actually no aid offered, japokuwa (based on nyaraka zilizopo ) ni kuwa serikali yetu tukufu imekuwa iki lobby tupewe preferential export credit of $ 5 billion ambayo balozi wa china hapa Dar, na every tom dick and harry aliopo sirikali amekuwa akijibu akiiulizwa kuhusu financing the SRG railway. Baada ya malalamiko ndio ikaamuliwa kuwa tutafute pesa za mkopo toka kwa mashirika ya fed ya kimataifa na baadhi ya nchi ili tuufanye huu mradi.

Taarifa ambazo wanataka kuzificha japo wenyewe wamekuwa kimbelembele kila siku ku preach ammabo ya OPEN GOVERNMENT PARTNERSHIP (OGP) ili kuweka wazi taarifa za matumizi ya pesa za serikali kwenye mitandao yao. Sasa kama hawataki TRANSPARENCY itabidi wajiulize inawezekana vipi sie watu wa Kimara tunazo taarifa za huu mkopo?

Anyway,

As it stands ni kuwa total cost of the project is USD 7.6 billion. Na loan iliyoombwa from EXIM Bank (80-85 %) lakini hawakufikia makubaliano ni percentage ngapi ndio maana ikaletwa hoja ya kuwatisha jmamcho kufumba kuwa hata hata watu wa UBATANI (Uturuki) na wengine wanaweza kutupatia loan kwa favourable terms.

Initially ile loan toka kwa EXIM BANK (ambayo bado hawakukubaliana) ingegawanyika into 2 parts:

1.Ingekuwa ni concessional loan na ingekuwa na 2 % interest per annum with a grace period 7-10 years. The repayment period is ni between 20-25 years.

2. Ingekuwa ni commercial loan na LIBOR + 360 base point interest per annum na grace period ingekuwa not less than 5 years with a repayment period of around 10 years.

Tusisahau kuwa kuna element ya insurance ya hiyo commercial loan ambayo ingekuwa almost 7% ya thamani ya huo mkopo na ingelipwa kwa 3 au 4 annual instalments. Ohhh kitu kingpin ni kuwa interest payment katika kipindi hicho cha grace period ingekuwa covered na Sirikali yetu Tukufu kupitia hizo budgetary allocations na yale mapesa tunayotozwa kuingiza mizigo ndani ya nchi. Katika plans zao walitaka kuwa repayments ziwe covered na mapesa yatakayopatikana kwenye operations za hii reli. Bila kusahau kuwa serikali ingesaidia kugenerate traffic na kazi kwenye hii reli (marufuku ya malori barararani na kushawishi nchi jirani watumie hii reli kusafirisha mizigo yao) ili serikali ipate revenues ku cover operations na loans/interest payments tunazodaiwa

Kuna jambo nilisahau kuwa Sovereign Guarantee ambayo ni ngumu kupata kuliko jasho la mbu ingetoka tuu (zipo threads humu JF zinazoulizia kwa nini Tanzania haya mambo ya kutoa SG hayajawekwa wazi na nani ana mamlaka ya kuongeza debt limit ya serikali)

WANACHOTAKA EXIM BANK TOKA KWETU

Wichita (EXIM BANK) wao kama kawaida ya mkopaji yoyote yule mwenye nia ya kurudishiwa pesa zake na faida juu hakuna cha bure bure, masharti yao sio siri wanataka yafuatayo toka kwetu:

1. Construction Standards ziwe za kwao China/Chinese standards

2. Operator wa hii reli lazima awe familiar na lender (in this case itakuwa hao hao Wachina)

3. Insurance lazima ifanywe na kampuni yao sinosure na habari zao zinapatikana hapa:
http://www.sinosure.com.cn/sinosure/english/English.html

4. Baada ya ujenzi serikali lazima iguarantee traffic ili mradi we na faida

5. Escrow account itafunguliwa na itakuwa operated jointly kati ya serikali na EXIM Bank na proposed scheduled charges zitakuwa kama ifuatavyo:

a) ya kwanza itakuwa ya operations
b) ya pili itakuwa ni ya payment ya mikopo na riba (interests)
b) ya tatu na final charge itakuwa kwa jaili ya capital projects.

6.Serikali inategemewa na kutarajiwa kuwa itatoa sovereign guarantee ya huo mkopo

7. Serikali pia toe uhakiki wa pesa za ununua ardhi, kulipa fidia na kuwahamisha wananchi watakao athirika

8. Serikali lazima pia itoe confirmation kuwa wanazo pesa za percentage ya contribution yake (inaweza ikawa 30%,20% au 15%)


DESIGN STANDARDS

(hizi ni estimates tuu kwa sababu kumekuwa na mabadiiko mara kwa mara toka upande wetu)

Gauge-1,435 mm
Design standard-Chinese
Class of railway-Class 1 design, maintenance and operation
Number of tracks-Single initially (civil infrastructure prepared for future doubling)
Length of crossing loops- (?)
Rail-International union of railways (UIC) 60 (60 kg/m)
Switches-Electrically operated
Minimum horizontal curve radius-1,200 meters; difficult sections 900 meters
Minimum vertical curve radius-10,000 meters
Maximum gradient-1.2% (?)
Power type-Diesel initially (kumekuwepo kwa hoja kuwa gesi ipo why tusipige umeme all the way?)
Type of locomotives-Passenger: ( ?)
Loading gauge-Double stack containers and future electrification kwa sababu ya umeme wa gas
Axel load-25 tonnes (minimum)


DR. JOHN POMBE MAGUFULI aka MR INFRASTRUCTURE:

Mheshimiwa Rais by profession ni mpenzi mkubwa sana wa infrastructure projects na sifa yake nyingine kubwa he has an eye for detail and he knows his trade, Hivyo alipopelekewa report ya huu Mradi ni kuwa hakutaka apewe briefing, alijifungia for a whole weekend akasoma detailed reports za feasibility studies, na financial proposals na bila kusahau recommendations from previous administration kuwa kampuni ya CHINA RAIL MATERIALS (CRM) wapewee tenda hiyo.

Tukumbuke kuwa Mheshimiwa anafahamu vizuri tulivyopigwa kwenye mradi wa Utanuzi wa Bandari ya Dar, Ujenzi wa bmba la gesi toka Mtwara na bila kusahau another elephant project ya Bandari ya Bagamoyo. Hivyo alipoona CRM's price for the new railway was "hugely inflated," in addition, the SGR project was hastily delivered to CRM without proper tendering, na kwenye notes zake Mr Infrastructure aliandika kwa the whole thing stinks kwasababu it there was inadequate "front end design" and/or feasibility study before the Chinese were awarded the contract on top of irregularity and side stepping 2004 PPA and its amendments....

MAJIBU YA CHINA RAILS MATERIALS kwa MR INFRASTRUCTURE:


WAPIGA DILI

ROLE YA WANASIASA

LIST YA VIONGOZI WANAOPINGA HUU MRADI

ROLE YA TREASURY NA PLANNING

BUNGE OVERSIGHTS

WHO IS WHO

BEIJING PRESSURE

TURKISH DEIGHT

THE ROTHSCHILDS QUESTION
 
Huu ni moja nyuzi ambazo nime-subscribe, ndo maana sijasoma hadi mwisho maana huwa nafuatilia mjadala wake mwanzo mwisho!

Nikukumbushe kuwa huyo sio mkosoaji ni mshauri! Kitu kingine tu ambacho unatakiwa kukumbuka ni kuwa hao waturuki na wareno wanajenga phase ya kwanza ya dar Morogoro! Kwa uzoefu wako huitaji kuambiwa kuna km ngapi hapo!

Kinachofanyika sa hizi ni mchakato wa phase two ambapo wachina wasipozubaa watachukua tenda!

Kwenye hiyo tenda ya awali hata wao waliridhika kuwa mchakato ulikuwa wazi na balozi wao akakiri huku akiwasihi washiriki kwa wingi!


Najua kuna watu wengi wanasema tz na China sa hizi hazina mahusiano mazuri, labda upitie hapa na wewe uongeze ufaham

TZ-China relations ‘not on a free fall’
 
Naomba nkusahishe hapo mkataba wa kampuni ya China ulikuwa dola billion 7 sawa na tsh 14 trillions na sasa magufuli imeshuka mpaka dola billion 5 usiongope ndio maana akaamua kuwapa uturuki tenda wachina walizidisha gharama za mradi
 
Huu ni moja nyuzi ambazo nime-subscribe, ndo maana sijasoma hadi mwisho maana huwa nafuatilia mjadala wake mwanzo mwisho!

Nikukumbushe kuwa huyo sio mkosoaji ni mshauri! Kitu kingine tu ambacho unatakiwa kukumbuka ni kuwa hao waturuki na wareno wanajenga phase ya kwanza ya dar Morogoro! Kwa uzoefu wako huitaji kuambiwa kuna km ngapi hapo!

Kinachofanyika sa hizi ni mchakato wa phase two ambapo wachina wasipozubaa watachukua tenda!

Kwenye hiyo tenda ya awali hata wao waliridhika kuwa mchakato ulikuwa wazi na balozi wao akakiri huku akiwasihi washiriki kwa wingi!


Najua kuna watu wengi wanasema tz na China sa hizi hazina mahusiano mazuri, labda upitie hapa na wewe uongeze ufaham

TZ-China relations ‘not on a free fall’

Ndio maanake nikakwambia huna haja ya kunikumbusha kwamba sasa hivi mpo kwenye michakato ya kutafuta hela ya awamu ya pili ya ujenzi, muda wote nimekua nikiongea kuhusu hii phase two. Awamu ya kwanza mlishazindua ujenzi wake na kusema hela mtatumia zenu za ndani, japo nayo pia hamjawa na utoaji wa taarifa kama sisi ambao tulihakikisha kuwajuza ulimwengu kuhusu kila hatua ya mradi wetu.

Yenu mnapiga kimya na kuruhusu propaganda za kila aina zinazagaa kote kote. Kwenye huo uzi nimeona jamaa hapo analalamika kwamba wanatishiwa kwenye PM na nafikiri ndio maana uzi haukuendelea, umeishia kwenye bandiko za mapicha ya mradi wetu.

Kingine, hamna jinsi uhusiano wa Wachina na Tz unaweza kuvunjika maana Wachina kama tulivyo Wakenya, ni wajanja sana na wanajua jinsi ya kubembeleza. Nyie kawaida huwa mnaendeshwa kwa hisia na mihemko, lakini wanabiashara wanajua jinsi ya kuendana na watu wa aina yenu. Huko Tanzania bado kuna raslimali nyingi sana na fursa za kila aina, hivyo lazima Wachina wahakikishe hawachezei mbali, hata mkiwapiga chini kwenye baadhi ya miradi.

Kauli kuu ya mwanabiashara yeyote mweledi ni 'never get personal', na ndio maana hata sisi huwa mnaturushia kila aina dongo lakini tunacheza kimya maana tupo kimaslahi zaidi. Hivyo Mchina atahakikisha anachezea karibu na kwa kutumia mbinu nyngi ahakikishe anaendelea kunufaika ndani ya nchi yenu.
 
Back
Top Bottom