Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Nimejiuliza mambo machache baada ya kusikia rafiki zangu serikalini wakinena jambo.
Kuwa, miradi mikubwa kama Stieglers, Ndege nk fedha zilizolipia miradi hiyo ni zile zilizookolewa kwa kutopandisha vyeo, nyongeza ya mishahara,nk.
Hii inaweza kuwa wako sahihi? Nisaidiwe!
Kuwa, miradi mikubwa kama Stieglers, Ndege nk fedha zilizolipia miradi hiyo ni zile zilizookolewa kwa kutopandisha vyeo, nyongeza ya mishahara,nk.
Hii inaweza kuwa wako sahihi? Nisaidiwe!