Wachumi naomba mbinu!

Wachumi naomba mbinu!

Anzisha biashara ya genge.
Hauhitaji mtaji mkubwa kuanzisha mradi huu.

Kwenye hicho kimshahara chako jiminye mpaka uweke kitu Kama laki mbili au pungufu ya hapo.
Genge ni biashara ya uhakika.

Pia inategemea na eneo.
Kila la kheri
 
Kama hujajua ni biashara gani.. basi bado hujawa tayari kufanya biashara. Honestly! Husifanye kwa kuwa unamuona flani anafanya na anapata pesa ukatamani fanya kwa kuwa unamapenzi na hicho ukifanyacho! Fanya kitu ambacho utakuwa tayari kufanya hata kama ukiamshwa usiku wa manane ukifanye. Kitu ambacho kila asubuhi utaamka ukitabasamu kwenda kukifanya! Kinacho kupa furaha kukifanya.
Kuna wengine ikifika asubuhi anatamani aendelee kulala!!
 
Jifunze kwanza kanuni za pesa.
Nakushauri uanze kwa kusoma kitabu kidogo kinaitwa "The Richest Man in Babylon" naweza kukutumia soft copy au kukununulia kabisa hard copy kama unapenda kusoma vitabu.

Ubarikiwe
Naomba ntumie soft copy
 
Zifuatazo ni mbinu/njia za Kupata mtaji
1.kuuza baadhi ya Mali ulizonazo kama mifugo,shamba,miti,n.k

2.kucheza upatu

3.bahati nasibu

4.msaada kutoka kwa ndugu ,jamaa Na marafiki

5.akiba uliyojiwekea mwenyewe

6.zawadi kutoka kwa watu wako wa karibu

5.kutumia kipaji ulichonacho kuingiza Pesa Na hatimae ukapata mtaji wa kuendeleza biashara uipendayo

6.kufanya Kazi kwa matajiri ila hii hapa haikuhusu wewe



Lakini pia unaweza, ukaanzisha miradi midogo midogo Na hatimaye ukakuza bland Yako Na kuanzisha kiwanda kidogo NYUMBANI kwako kama vile anza Na mtaji kidogo kwa kutengeneza Sabuni ya maji,au ufugaji wa Kuku kwa kutotolesha Vifaranga kwa njia za asili Na Kupata Vifaranga wengi utakaouza Na kujipatia kipato cha ziada,tambi ,crips na mengine mengi nipo Tayari kukufundisha masomo hayo bila malipo ila labda kama unahitaji Kitabu ndo utalipia fedha ya Kitabu ila ukipata muda Na ukawa interest Na somo lolote lile nipigie Simu 0743550599 Na nitakufundisha bure bila malipo


Mafanikio mema Mkuu!!
 
Tengeneza kipato cha Ziada Kwa kupata kitabu maalumu kitakacho kufanya ujue kutengeneza bidhaa mbali mbali muhimu za viwamdani nyumbani kwako na uweze kujiajiri. Kitabu hicho utakipata Kwa bei ya TSh.5,000 tu! Katika email au whatsup yako. Nipigie au whatsup 0762208190 AU 0718978295. Utachagua unacho taka kujiajiri kitaalam kupitia kitabu hicho.
Du watu kwa fursa hawajambo
 
Back
Top Bottom