Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,884
- 5,235
Ninasikiliza DW hapa, kuna bwana mmoja anasema,
"kufungwa kwa Maduka hayo mtaani kumepekea bei ndani ya mabenki kuwa kubwa, pia anasema dola ipo mtaani tatizo watu wanashindwa kuzibadili sababu ya bei ndogo kwenye mabenki." so anashauri maduka hayo yafunguliwe.
Nijuavyo mimi dola hupungua sababu ya low export au manunuzi makubwa nje ya nchi ambayo hutumia dola.
wachumi, nipeni mwanga.
"kufungwa kwa Maduka hayo mtaani kumepekea bei ndani ya mabenki kuwa kubwa, pia anasema dola ipo mtaani tatizo watu wanashindwa kuzibadili sababu ya bei ndogo kwenye mabenki." so anashauri maduka hayo yafunguliwe.
Nijuavyo mimi dola hupungua sababu ya low export au manunuzi makubwa nje ya nchi ambayo hutumia dola.
wachumi, nipeni mwanga.