Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

Huo ni utumwa wa hadharani.
Nguruwe amekatazwa agano la kale lakini analiwa tu huku tukisema ni old testament commit.
Zaka iliagizwa kwenye agano la kale lakini mnalazimishwa mpaka sasa na hamshituki kuwa ni maagizo yaliyopitwa na wakati.
Big point Bro, Unaakili 100 nmependa sana. Hoja yako asipoishika mleta mada basi atakua mtumwa wa Wachungaji wahuni daima.
 
Kingine kinachowaponza ni kutoa sadaka kwa sifa, Mpaka kanisa lijue umetoa malaki uko ni kumhonga mchungaji ai kumtolea Allah. Toa kwa mkono wa kulia na wa kushoto usijue hapo utabarkiwa saaana na hiwezi kufanywa nguzo ya uchumi kanisani.

Acha sifa. Nenda kanisani sali toa sadaka kwa sili iogope sana Maiki ya kanisa inawaponza wengi.
 
Mchungaji kajuaje kuwa hujatoa fungu la kumi!? Wachungaji wanapataje access ya maisha yenu kiasi hiko mpaka kujua kama umetoa au hujatoa zaka!?
Tatzo watu hawasomi maandika wamekalia kusikiliza comedy za wachungaji, mchungaj anahubir watu wanacheka tu si ibada hiyo ni utapeli wa sadaka.
Kujikuta wewe ndo kinara wa utoaj kanisani lazima ugeuzwe kinyago
 
Yupo Sahih mkuu, Funguka naona kama na wewe ushatekewa na vibaka wa Kiroho
Wale jamaa wanajua kucheza na saikolojia wakiona umekuwa mgumu wanaanza vitisho kupitia mistari ya biblia ukiwakazia wanasema shetani keshakuharibu 😀
 
Hivi mbona zaka zinadaiwa kwenye faida tu, kwanini wasitusaidie kulipa madeni!!? Upendo gani huu wa kwenye faida tu, hasara tunapambana na hali zetu?
 
Wale jamaa wanajua kucheza na saikolojia wakiona umekuwa mgumu wanaanza vitisho kupitia mistari ya biblia ukiwakazia wanasema shetani keshakuharibu [emoji3]
Mm sijaona Mchungaji wala kanisa la kuniteka akili dunia hii, japo nimekulia katika dini na nina sali lakini kila kitu nafanya kwa mapenzi yangu na kwa hiali tena sinaga ushoga na stak shobo na wachungaji. Mungu ananitosha.

Dini nazo sijui zinaulimbukeni kuna watu wakiokoka wanakua manguruwe haswa kuliko hata walivyokua wapagani.

Biblia inaponya na inaua inategemea imetumikaje, Wachungaji ni Watu wapuuzi sana(wengi wao kwa sasa si wote)
 
Mitume walitumia zaka na sadaka kwenda kuwaona wajane,yatima,maskini na wenye uhitaji, Hii ilisaidia kuwawezesha wasiojiweza kuudhulia ibada na kuwakwamua kiuchumi ili wawavuye na wengine. Ilileta mvuto kanisani watu walio nje ya kanisa walitamani kuungana na walio ndani ya kanisa.

Zaka na sadaka na michango ya siku hizi inatumika kununua magali,smartphone, suit na nyumba za wachungaji hii imewafanya waumini kua duni huku wachungaji wakitajirika. Imeondoa mvuto kanisani watu walio nje wanaona kama dini ni Biashara.

Siku hizi wachungaji hawatumii zaka na sadaka kusafiri kuhibiri injiri vijijini bali wanatumia kukata tiketi za ndege kwenda kujionea uzuri wa dunia na kufuata miujiza ya nguvu za giza Nigeria.
 
Samahani kama nitakuwa nimewakwaza ila FUNGU LA KUMI NI LAZIMA. Ki biblia hyo pesa 10% siyo yako, kwahyo ukiitumia kwasababu zozote zile ambazo kibinadamu ni zinaonekana ni za msingi unakosea, unakuwa kama umeiba (umemuibia muumba wako). FULL STOP!!!
Je,Mungu in dhaifu hata aibiwe?
 
Back
Top Bottom