Marko16:17-18 nanukuu; na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio,kwa JINA langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya,18 watashika nyoka,hata wakinywa kitu cha kufisha,hakitawadhuru kabisa,wataweka mikono juu ya wagonjwa,nao watapata afya....kama dini yako inaona pepo ni kawaida...Ukristo pepo ni laana,utumwa na tena ni UCHAFU..