Wachungaji na walokole, tunagongewa sana wake zetu

Mzee MziziMkavu , with all due respect.

Hapa seems umemdhalilisha mama wa huyo kijana zaidi ya kijana mwenyewe.
For all the good points you mentioned, lets not take it for granted someone mother & origin.
 
Hiyo yote ni madhara ya kushiriki tendo kabla ya ndoa, mtu alikuwa anapigwa lisaa wewe ukija na dakika tano unaonekana boya, kuna hasara nyingi za kutoka nje ya ndoa kuliko hiyo raha ya sekunde chache
Umenena vyema, x boyfriend wako alikuwa na dushe kama mchi wa kutwangia muhogo, show yake ni kama full match ya football, unamuacha sababu umeokoka, unaolewa na Mchungaji, katikati ya gemu anakupa vifungu vya Biblia, ghafla kakojoa, anashuka, unamuuliza baba, mbona safari ya mbinguni umeshuka mapema kabla Mwenzako sijaanza hata kuota mabawa?
Anasema nimesha maliza mama, asanteeee....
Kiruuuuuu Irene Mbowe nisamehe, hapo lazima tu nitafute baharia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Irene Mbowe ndio mwenye mbingu?
 
points za ki CHADEMA HIZI.
 
Ukweli mchungu, kuna mama mmoja wa kilokole nilikutana nae accidentally asubuhi na hangover zangu akaachia mzigo kirahisi sana, then akala shoo ya kutolea hangover...'nadhani mabaharia tunafahamu. Sasa usumbufu wake sio wa kawaida, yaani ni mtengeza mazingira hasa. Sasa juzijuzi kanialika kwenye kipaimara cha mwanae, huku anatia neno ghafla akaniona back bencha mpaka usia kwa mwanae ukapotea,, kunatatizo mahala kwa hawa jamaa! sema tu ndo ivo msaada upo tunatoa
 
"Ndio hapo unashangaa mtoto wa kilokole hataki ulokole, anataka tatoo, kuvuta bangi na kufuga marasta kama Jini NINGAMTONGAJO anayefugwa na Ramadhan Kassim Mchatta na Gill Biz."

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Mbavu zangu jamani...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
Huwa najiuliza

Acha tu kutopiga show vizuri, je ni nani yuko tayari mkewe ashughulikiwe na mwanamke mwenzie?

Ninachojua mimi ni kwamba sitajishughulisha kwa ajili ya kumridhisha mwanamke maana kiuhalisia huwezi kujua mwanamke anataka nini kwako
 
Ni kweli wengi wenye background hizo wako hivo, labda kuna vitu wanaviona kwenye mazingira wanayokulia halafu wanagundua kuna vitu vingi wanamisi huko ubahariani. Sema hata upole huwa unazidi mno hawa jamaa, mademu ni ku-consume as if there is no tomorrow ukiwa unamshughulikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…