Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #61
Ohh yeah"Ndio hapo unashangaa mtoto wa kilokole hataki ulokole, anataka tatoo, kuvuta bangi na kufuga marasta kama Jini NINGAMTONGAJO anayefugwa na Ramadhan Kassim Mchatta na Gill Biz."
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Mbavu zangu jamani...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bujibuji nikiongea watu povu kikundiUkweli mchungu, kuna mama mmoja wa kilokole nilikutana nae accidentally asubuhi na hangover zangu akaachia mzigo kirahisi sana, then akala shoo ya kutolea hangover...'nadhani mabaharia tunafahamu. Sasa usumbufu wake sio wa kawaida, yaani ni mtengeza mazingira hasa. Sasa juzijuzi kanialika kwenye kipaimara cha mwanae, huku anatia neno ghafla akaniona back bencha mpaka usia kwa mwanae ukapotea,, kunatatizo mahala kwa hawa jamaa! sema tu ndo ivo msaada upo tunatoa
Ha ha ha mapovu lazima watoe, sema mi nimetoa arlet mwanzoni kwamba ni ukweli mchungu ila lazima waumeze.Bujibuji nikiongea watu povu kikundi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari ndio hiyo suti nyingi za kijani, njano, nyekundu, nyingine za zambarau na hata za Vitenge lakini kitandani weupe na watupu
Lazima ugongewe tusasa kama unapiga show kama ile ya Gwajima kwa nini usigongewe!
Hiyo hapana, hata kama huyo ndiye Mme wa kwanza au mtoa bikira, mwili huitaji asikwambie mtu, nilishudia ugomvi mke anahitaji huduma kwa Mme, Mme naye kahamia sehemu nyingine kikazi na huko yupo na kimada akija kwa mke anafanya cha jujuu tena mchana na mkewe anataka alale maana mchana watoto wapo na anashindwa kuenjoy, wenzie wakamshauri atafute wakumliwaza kajibu huyu ndiye Mme wake wakwanza hawezi kudanga nje hajazoea, ninavyokwambia tayari HIV ilishawachukua na Mme ndiye alianza kutanguliaHiyo yote ni madhara ya kushiriki tendo kabla ya ndoa, mtu alikuwa anapigwa lisaa wewe ukija na dakika tano unaonekana boya, kuna hasara nyingi za kutoka nje ya ndoa kuliko hiyo raha ya sekunde chache
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha bangi basi au umepata cha arusha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenena vyema, x boyfriend wako alikuwa na dushe kama mchi wa kutwangia muhogo, show yake ni kama full match ya football, unamuacha sababu umeokoka, unaolewa na Mchungaji, katikati ya gemu anakupa vifungu vya Biblia, ghafla kakojoa, anashuka, unamuuliza baba, mbona safari ya mbinguni umeshuka mapema kabla Mwenzako sijaanza hata kuota mabawa?
Anasema nimesha maliza mama, asanteeee....
Kiruuuuuu Irene Mbowe nisamehe, hapo lazima tu nitafute baharia
Sasa si unaona madhara ya kutoka nje? Huyo alikuwa hampi kabisa mkewe kwa kuwa alikuwa na kimada na ndio sababu ya ugomvi, hawakugombana kwa kuwa anaenda dakika chache au kibamia. Halafu mwili nao sio wa kuuendekeza sana, unatakiwa uuzoeshe mwili wako kukutii. Ipo siku huyo mume atapata matatizo, ataugua au atakufa...utaufanyaje huo mwili uliozoea kufanyishwa kila ukihitaji? Hapa nazungumzia kwa wale ambao ndio maumbile yao ya kingono sio hao wanaomaliza hamu njeHiyo hapana, hata kama huyo ndiye Mme mwili huitaji asikwambie mtu, nilishudia ugomvi mke anahitaji huduma kwa Mme, Mme naye kahamia sehemu nyingine kikazi na huko yupo na kimada akija kwa mke anafanya cha jujuu tena mchana na mkewe anataka alale maana mchana watoto wapo na anashindwa kuenjoy, wenzie wakamshauri atafute wakumliwaza kajibu huyu ndiye Mme wake wakwanza hawezi kudanga nje hajazoea, ninavyokwambia tayari HIV ilishawachukua na Mme ndiye alianza kutangulia
Khantwe...Mke mdogo kiumri lakini mkubwa sana kihekima...[emoji119][emoji3]Sasa si unaona madhara ya kutoka nje? Huyo alikuwa hampi kabisa mkewe kwa kuwa alikuwa na kimada na ndio sababu ya ugomvi, hawakugombana kwa kuwa anaenda dakika chache au kibamia. Halafu mwili nao sio wa kuuendekeza sana, unatakiwa uuzoeshe mwili wako kukutii. Ipo siku huyo mume atapata matatizo, ataugua au atakufa...utaufanyaje huo mwili uliozoea kufanyishwa kila ukihitaji? Hapa nazungumzia kwa wale ambao ndio maumbile yao ya kingono sio hao wanaomaliza hamu nje
Naam! Aliyemuoa demu wangu wa zamani kama hana pumzi lazima asaidiwe. Nilikazoesha mbio ndefu sana, mwanzoni kalikuwa kanachoka ila kalivyokuja kuzoea acha kabisa. Dakika 30 kawaida sana na zinadi ndiyo kanakaa sawa.Hiyo yote ni madhara ya kushiriki tendo kabla ya ndoa, mtu alikuwa anapigwa lisaa wewe ukija na dakika tano unaonekana boya, kuna hasara nyingi za kutoka nje ya ndoa kuliko hiyo raha ya sekunde chache
Watu gani ndio wako real? Unafiki ni sifa ya MtanzaniaWalokole almost 98 %ni wanafki
Tukumbushane tu kuwa neno au jina "mungu" litumike vizuri kwa wakati na sivyo ulivyolitumia hapa sio vizuriAcheni uboya, pigeni show za kibabe hadi wake zenu wauone utukufu wa Bwana kwenye mboo zenu.
Hujanielewa mme alikuwa akija mchana tu usiku hayupo inamaana mke hakuwa akiridhika mwishowe kilichofuata ......kweli hakuwa anamjua mwanaume mwingine kwanini hakuwa anaridhika na hiyo dozi ya mchana?Sasa si unaona madhara ya kutoka nje? Huyo alikuwa hampi kabisa mkewe kwa kuwa alikuwa na kimada na ndio sababu ya ugomvi, hawakugombana kwa kuwa anaenda dakika chache au kibamia. Halafu mwili nao sio wa kuuendekeza sana, unatakiwa uuzoeshe mwili wako kukutii. Ipo siku huyo mume atapata matatizo, ataugua au atakufa...utaufanyaje huo mwili uliozoea kufanyishwa kila ukihitaji? Hapa nazungumzia kwa wale ambao ndio maumbile yao ya kingono sio hao wanaomaliza hamu nje
Naam! Aliyemuoa demu wangu wa zamani kama hana pumzi lazima asaidiwe. Nilikazoesha mbio ndefu sana, mwanzoni kalikuwa kanachoka ila kalivyokuja kuzoea acha kabisa. Dakika 30 kawaida sana na zinadi ndiyo kanakaa sawa.
Shalom! shalom!
Walokole almost 98 %ni wanafki
Acheni kula kitimoto.Shalom walokole wenzangu na wana JamiiForums wote kwa ujumla.
Sisi walokole wengi tumekuwa kama manyumbu, Nadhani wengi mliona ile video iliyo leak ya baba askofu, ambayo baadae kitengo cha Forensic cha Polisi na UDOM vikatutonya kuwa eti sio video halisi ila fabricated.
Askofu alipiga show fupi sana, less than a minute, kindumbwendumbwe uwanjani.
Walokole nna Wachungaji wengi tunajidai tuko rohoni sana, Hatuna muda wa kuwaandaa wake zetu, tunapiga show za kiboya za dakika moja, halafu ukimaliza humjali mkeo kama amefika kileleni au lah, unapiga magoti, unasema asante Mungu kwa mke mzuri na mtamu. Unalala fofofo, Mwenzako unamwacha na minyege yake akihesabu mabati.
Matokeo yake mkeo atatafuta hata mwana kwaya, au ndio ataenda nje huko na kuanza kugongwa na mabaharia ambao watakata kiu zake. Mbaya zaidi mabaharia ni wala Samaki, lazima amgeuze.
Ndio hapo unashangaa mtoto wa kilokole hataki ulokole, anataka tatoo, kuvuta bangi na kufuga marasta kama Jini NINGAMTONGAJO anayefugwa na Ramadhan Kassim Mchatta na Gill Biz.
Wito wangu kwetu, acheni uboya, pigeni show za kibabe hadi wake zenu wauone utukufu wa Bwana kwenye mboo zenu.
Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole
Mimi ni mtoto wa tatu katika familia ya watoto 6, baada ya Dada na braza me nilifuatia. Faza etu ni pastor wa kanisa Fulani la kilokole na ni mcha mungu katika kweli kabisa ya mungu in short familia nzima ni ya kilokole ya kiimani sana. Katika kulelewa kwetu tumekuzwa katika misingi ya kiimani...www.jamiiforums.com