Wachungaji tamaa na misimamo yao

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433

Tamaa ni kitu cha kawaida kwa kila binadamu na sote tumeumbiwa tamaa. Hakuna aliekamilika asiye na tamaa kama ni tamaa ya hela chakula mavazi au tamaa kubwa ya NGONO.

Wanawake wengi wanatumia fursa hii kutumaliza wanaume kwani tafiti zinasema asilimia 85 ya wanaume marijali hushindwa kuzuia tamaa zao za kimwili pale mwanamke anapoanza kumuonyesha vionjo.

Kwanini wanawake mnatesa watu ambao hawatakiwi kufanya ufuska katika jamii. Kwanini wanawake wengi mnapenda kwenda kutega wanaume nyumba za ibada?
 
Ni kweli kuna wanawake anajua kabisa nguo aliyovaa ni utata. Lakini bado anapitapita mbele aonekane,,,
 
Wewe umejuaje,kama mhusika ni mchungaji?
Mbona sioni dalili yoyote ya kuonyesha
kama anayetegwa ni mchungaji? Kwa nini usiseme boss ategwa ofisini kwake?
Wakati mwingine kuna laana tunajiletea sisi au watoto wetu kwa kukosa umakini.
Chukua hatua.
 
Ikiwa ulilenga kuzungumzia tamaa za wanaume basi sio vema kusema wachungaji, utawakwaza watu wa imani ya upande huo.

Andiko lako litaleta dhana ya udini.

Siungi mkono hoja.
 
Wewe umejuaje,kama mhusika ni mchungaji?
Mbona sioni dalili yoyote ya kuonyesha
kama anayetegwa ni mchungaji? Kwa nini usiseme boss ategwa ofisini kwake?
Wakati mwingine kuna laana tunajiletea sisi au watoto wetu kwa kukosa umakini.
Chukua hatua.
povu la nini mkuu na bible ziko hadharani?
 
Ikiwa ulilenga kuzungumzia tamaa za wanaume basi sio vema kusema wachungaji, utawakwaza watu wa imani ya upande huo.

Andiko lako litaleta dhana ya udini.

Siungi mkono hoja.
niliongelea tamaa ila kipande hiki kilikua kinamuhusu muhusika kwenye video ambae anateswa na mwanamama unaemuona apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…