Wachungaji wa Karne hii wakishiba sadaka wanaungana na dola na tawala onevu ili kulinda maslahi yao

Waumini wa zee paka ambao miongoni mwenu haya yamewakuta mnajisikiaje mnapomuona zee paka akikandia upande wa pili wa siasa za kistaarabu?

1.Mliopigwa na helsb
2.Mliofukuzwa kazi kionezi.
3.Mliopoteza ndugu kimaajabu.
4.Hamjalipwa areas
5.Hamjaongezwa mshahara kwa 5yrs
Nk

Mnajisikiaje zee paka anapotumia sadaka zenu kulipia vipindi kwenye tv kuwakandia upinzani na KUMSIFU mtukufu kwa sadaka zenu?
 

Na wakiwa na njaa wanaungana na wanasiasa uchwara pamoja na mabeberu kuhujum nchi.
 
Ndio sababu siku hizi siendi kanisani...Kuna wakati nahisi ni pepo lakini nastuka kuwa ni hali ya madhabahu ya Bwana kuingiliwa ndio inanipush kukaa mbali na wafuasi wa shetani wenye Kanzu
 
watumishi wa Mungu waliozishika imani wamebaki wachache sana.
 
Kwani hujui unaishi katika taifa lililojaa wajinga na mang'ombe kuanzia kichwani Hadi miguuni??
 
na ukifatilia vizuri viongozi wa dini wanaolamba viatu vya dola wengi ni wale wa makanisa ya waroho
 
Wachungaji uchwara wapo wengi siku hizi
 
Mi nafikiri ni muda muafaka sasa wa kuziangalia hizi sadaka kama bado zinahitajika....na kama zinahitajika je matumizi yake yapo sahihi?

Sababu lengo la sadaka toka zama hizo ilikiwa na kuwapa makuhani marupurupu ili waweze kujikimu ki maisha!! Na zinazobakia ilikiwa ni shughuli za kanisa hasa kujenga masinagogi na kurekebisha ya zamani.

Sasa leo hii sadaka inakwenda kwa Mchungaji na familia yake. Kwa mfano Mchungaji wa kondoo ananunua gari la $120,000.. jamani... kwani kama ni suala la usafiri mbona Noah zipo ewe baba Mchungaji?

Sasa wakishakula sadaka hizi ni lazima wamsifie aliyeko madarakani ili waendelee kuzitumbua zaidi raha mustarehe huku waumini wao wakiwa hoi bin taabani ki maisha.
 
Na wewe fanya hivyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…