Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
- Thread starter
- #21
Waumini wa zee paka ambao miongoni mwenu haya yamewakuta mnajisikiaje mnapomuona zee paka akikandia upande wa pili wa siasa za kistaarabu?
1.Mliopigwa na helsb
2.Mliofukuzwa kazi kionezi.
3.Mliopoteza ndugu kimaajabu.
4.Hamjalipwa areas
5.Hamjaongezwa mshahara kwa 5yrs
Nk
Mnajisikiaje zee paka anapotumia sadaka zenu kulipia vipindi kwenye tv kuwakandia upinzani na KUMSIFU mtukufu kwa sadaka zenu?
1.Mliopigwa na helsb
2.Mliofukuzwa kazi kionezi.
3.Mliopoteza ndugu kimaajabu.
4.Hamjalipwa areas
5.Hamjaongezwa mshahara kwa 5yrs
Nk
Mnajisikiaje zee paka anapotumia sadaka zenu kulipia vipindi kwenye tv kuwakandia upinzani na KUMSIFU mtukufu kwa sadaka zenu?