King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo, jina lipitalo majina yote,
Leo ningependa kuwashirikisha juu ya watumishi wa Mungu, Wachungaji/wahubiri injili ambao nimetokea kuwaelewa sana.
Wapo wengi lakini leo nitawataja baadhi ambao aina yao ya utumishi inataka kufanana,
1. CHRISTOPHER MWAKASEGE
2.DAVID MMBAGA (Huyu ni mchungaji wa kanisa la Wasabato)
Watumishi hawa wa Mungu walimu wazuri hasa kwenye mafunzo ya Biblia na neno la Mungu kwa ujumla,
Wanafundisha kwa mifano hai, hata kama ukiwa mzito kiasi gani utaelewa.
Leo ningependa kuwashirikisha juu ya watumishi wa Mungu, Wachungaji/wahubiri injili ambao nimetokea kuwaelewa sana.
Wapo wengi lakini leo nitawataja baadhi ambao aina yao ya utumishi inataka kufanana,
1. CHRISTOPHER MWAKASEGE
2.DAVID MMBAGA (Huyu ni mchungaji wa kanisa la Wasabato)
Watumishi hawa wa Mungu walimu wazuri hasa kwenye mafunzo ya Biblia na neno la Mungu kwa ujumla,
Wanafundisha kwa mifano hai, hata kama ukiwa mzito kiasi gani utaelewa.