Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga = Fursa za maendeleo kwa Wajanja.Kumekuwa na wimbi kubwa la WACHUNGAJI wanaojinasibu eti wana uwezo wa kutenda miujiza kama vile kuponya watu...
DuhNa wanaliwa kwelikweli,...kuna siku huku nilipo(mwanza) nilienda kusajili laini kwa wakala anatoa na huduma za kutoa na kuweka fedha, kipindi naendelea na taratibu za usajili akaingia mteja huku kashikilia pesa mkononi akampa wakala huku akimtaka atume kwenda namba ambayo alimtajia,.. wakala alipofikia hatua ya jina akamtaja Boniface mwamposa,mwamba akaitikia kwa kutikisa kichwa akiashiria wakala aachie mzigo uende, ..mwamba alipoondoka ikabidi nimuulize wakala ni mwamposa huyuhuyu wakala akajibu ndio na nikawaida ya yule mteja kufanya vile kila week!
Mbona ninyi Wakorinto mnazo hadi nyaraka mlizoandikiwa?Hauja ziperuzi hadi leo?Mpaka siku mtakapoamua kusoma biblia kweli ili kumjua Mungu wa kweli.
Nyaraka njema hazina janja janja hata punjeMbona ninyi Wakorinto mnazo hadi nyaraka mlizoandikiwa?Hauja ziperuzi hadi leo?
Hatari kweli kweli.Na wanaliwa kwelikweli,...kuna siku huku nilipo(mwanza) nilienda kusajili laini kwa wakala anatoa na huduma za kutoa na kuweka fedha, kipindi naendelea na taratibu za usajili akaingia mteja huku kashikilia pesa mkononi akampa wakala huku akimtaka atume kwenda namba ambayo alimtajia,.. wakala alipofikia hatua ya jina akamtaja Boniface mwamposa,mwamba akaitikia kwa kutikisa kichwa akiashiria wakala aachie mzigo uende, ..mwamba alipoondoka ikabidi nimuulize wakala ni mwamposa huyuhuyu wakala akajibu ndio na nikawaida ya yule mteja kufanya vile kila week!
Kabisaa.Wajinga wengi kweri kweri tz
Ova