Mi nadhani kutoa mwili haimaanishi kuwa mdada anataka mume!ujue wengine wanafanya kwa starehe tu kama vile mtu anavyofanya starehe!!!Kina dada jipeni raha!Deffence kama hizi huwa zinanifanya nisome mara mbili mbili ili nielewe sana.
Ha ha ha haaaaa ha aaaaa dah nimeipenda sana hiiiiiiiiiiiiiiiiiii ha ha aaaaaaa but napita tuuuuuuuuuuuu!!Ni kweli huvunji sheria ya nchi lakini wanaume, wanatabia ya kukufuata akijifanya anakupenda kumbe nia yake ni kufanya tu tendo la ndoa na wewe lakini akisharidhika baada ya muda anasepa. Tena mwingine anasifia kabisa naniliu yako njuli ila kuoa anaenda kuoa kwingine kabisa.
Sisemi kama ni zawadi ya atakaekuoa ila nadhani inabidi ufike mahali useme basi inatosha
cpu hujambo mkuu?
si unaona lizzzy anajifanya starring katika hii sredi kwakuwa tumepigwa no entry. aombe hivi hivi title isibadilishwe yaani nina mapwenti ya kufa mtu leo
Wewe kama mwanaume unaweza kuandika/kuongea kwa style na kwa perspective nnayotumia mimi?Ningekua mwanaume ningeanzisha thread za kuwaongelea kina baba bila kujiweka kwenye kundi?eehee..kumbe hii sredi inahusu wakina dada/binti/mama
samahani kwa mleta sredi kwa kuchakachua..opps..
Hivi wewe Lizzy ni wakike au wakiume??
Mi nimebeba mzigo wangu tayari kwahiyo siwezi kukusaidia!utabidi unisaidia kuyabeba..
Unamjua mtu mwenye jina la WiseLady??:lol:
Mkuu
Tulikuwa tunapishana tu hapa JF bila salamu
Amani iwe kwako Wit
Lete jambo Komredi
umeshawahi kujiuliza?
Hivi hasa kwa ambao hawajaolewa umeshatoa penzi kwa wanaume wangapi? na umepata faida gani? au kwa kumsaliti mumeo umewahi pata faida gani?
Kwa nini isifikie mahali wadada hasa ambao hawajolewa waseme basi sitotoa tena mwili wangu kwa mwanaume mwingine mpaka yule atakaekuja kunioa. Kwani umeshafanya hivyo kwa baadhi na hakuna aliekuoa.
Nadhani ifike kipindi wadada ifike useme basi inatosha waliopita wanatosha atakaefanikiwa tena ni yule atakaenioa, tena ikiwezekana siku tatu kabla ya ndoa labda ndio naweza muonjesha.
Sizungumzii sana wale wanaojiuza au kutegemea kupata pesa kutoka kwa wanaume hawawezi kujizuia hilo. hapa nimemlenga mwanadada mwenye kazi yake inayomtoshelezea mahitaji yake ya muhimu kusema basi inatosha kufanywa chombo cha starehe au haiwezekani wapendwa naombeni maoni yenu.
Msinitukane wala kunikebehi wajameni mi mgeni msijenikimbiza naomba tu maoni na tushauriane kama inawezekana au vipi
Hahahahahahahah lol
St.PK umeniacha hoi lol
Dahh kwa kweli
Unajua sometimes vitu vingine huwa vinapunguza hata nafasi ya akili kufiria.............
Hahahahahahahah
embu rudi
Chumbani tukamalizane
kule kwanza
Halafu tutarudi kumsaidia
SARAFINA1.......
Nakuja mama............halafu sijui ni nani tu leo amenishawishi ninywe Vat 69
Hahaha
Aliekushawishi
Unywe hicho kinywaji
mlete huku nimkumbatie
hahaha lol
maana angeweza kukupa Midori
Wao
colour green hahahalol
Sijui tu nikubebee mbeleko gani leo maana unanipa raha kweli........
Hahaha lol
kuna kanga imeandikwa
"UKIPENDA BOGA LIPENDE NA UA LAKE"
Hiyo inatosha kunibebea
Sijala KFC bado
Kwa hiyo bado sijanenepa
Hahaha lol
Maua mengine hayapendeki mama,umeshawahi kuiona Black Rose ? Inapatikana katika bustani ya mama Ngina pekee mke wa marehemu Jomo Kenyata sijawahi kuiona sehemu nyingine Duniani,anyway ni lini tutacheza Rugby nina hamu kweli ya kukufunga.