St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Mmhh
Maua yote yanapendeka my dear
inategemea na we mwenyewe
Unayapalilia marangapi?
Je unaweka maji yakutosha?
JeUna prune down wakati wa winter?
Mbolea je?
Hahahah lol
Kuhusu rugby je Una mouth guard
Naogopa kukutoa hayo meno meupe yaliyojipanga
viizurii..
mmmhhh
Hahaha lol[/QUOTE
Mbolea tena mama au nimeelewa vibaya? Ila nashukuru kunikumbusha mouth guard I like that...........
Mmhh
Maua yote yanapendeka my dear
inategemea na we mwenyewe
Unayapalilia marangapi?
Je unaweka maji yakutosha?
JeUna prune down wakati wa winter?
Mbolea je?
Hahahah lol
Kuhusu rugby je Una mouth guard
Naogopa kukutoa hayo meno meupe yaliyojipanga
viizurii..
mmmhhh
Hahaha lol[/QUOTE
Mbolea tena mama au nimeelewa vibaya? Ila nashukuru kunikumbusha mouth guard I like that...........
Khhaaa
hivi hukujua maua yanahitaji mbolea?
Mmmmhhhbhh
Nway kuhusu rugby
usisahau shoulder padd to maana
Naelewa bado uko soft kidogo sehemu hizo
hahahah lol..
Khhaaa
hivi hukujua maua yanahitaji mbolea?
Mmmmhhhbhh
Nway kuhusu rugby
usisahau shoulder padd to maana
Naelewa bado uko soft kidogo sehemu hizo
hahahah lol..
Nakutahadharisha tu kuwa wachezaji wengine huwa wakiniona tu nimeingia uwanjani wanaanza kulia,sasaaa sijui lakini ..........
ok..
hawaridhishani kivipi?? Unatumia kigezo gani kujua?
Kwa hiyo utazunguka kwa wangapi mpaka upate anayekuridhisha?
Wale wote ambao wanaridhishana na ambao hawako kwenye ndoa wamejaribu wangapi??
Naomba unisaidie hapo...
Kwa dunia ya sasa ningekushauri wewe mleta mada kama unaamua kusubiri ufanye hivyo tu kwa usalama wako..[/QUOTE]
Nashukuru sana mpendwa kwa kunitia moyo, maana kila mtu alikua against mimi mpaka nikawa nashindwa kuelewa hii dunia tunaelekea wapi, naamini nitaweza na nitashinda kwa msaada wa mungu
sarafina badilisha kichwa cha habari bana tuweze kuchangia. wengine tunaheshim katiba
yaani huyu sarafina ananiongezeaga mahasila tu. mimi nataka kumwaga mabusara yeye hataki kubadilisha title? nimekasirika kweli aisee
Sarafina hamna mtu aliekua against wewe kufanya hivyo ila hawakupokea ushauri wako.Kama unataka unajiweka tu...kwani tatizo liko wapi!
Sarafina ndugu yangu, sio wakaka wa sasahivi!!! hata walokole wenyewe hawawezi kuvumiliana mpaka honeymoon ni kwa neema ya Mungu tu!!!
hakuna anayetamani kufanya mwili wake chombo cha starehe, ila utakuta umeshafanya hivyo kutokana na wakati tuliopo na mazingira tuliyojijengea!!
otherwise mawazo yako ni mazuri mama!!
Tujifunze uvumilivu
Tatizo umechukua negative points tu..mimi mwenyewe kuna post nilisema inawezekana tena na ushuda juu!Wapo watu wasioweza kujizuia..kwao sex ni kama chakula na wapo ambao wanaamua wao na sio mwili!Lizzy mamito nimeona kila mtu anaona kwamba haiwezekani mtu kuishi bila kungonoka, hichi kitu kimenishangaza sana kwamba watu wengi hawawezi kuvumilia je ikitokea umeolewa mumeo kaenda kusoma nje miaka mitano hakuna likizo ndio kusema mtu utatoka nje ya ndoa ama?
Tatizo umechukua negative points tu..mimi mwenyewe kuna post nilisema inawezekana tena na ushuda juu!Wapo watu wasioweza kujizuia..kwao sex ni kama chakula na wapo ambao wanaamua wao na sio mwili!
Sehemu ya akili inayocontrol ngono ni tofauti sana na sehemu inayocontrol ufahamu na busara za kawaida. Ile ikiamka, akili inahamia sehemu fulani chini ya kitovu, then maamuzi yake...
Mi naombeni Mwongozo...Sarafina1 ni nani wajameni.....mbona ninaelekea kumpenda gafla hivi. mmmmh:juggle: