Tunasema tafuta pesa.Wa hapa jf wanasemaje
I'd yenyewe inajieleza, ikipatikana inalika siku hiyo hiyoTunasema tafuta pesa.
Yani mtu akikataliwa hua anaonekana na sura baya bichwa baya hapo lazima uuone ubaya wake.I'd yenyewe inajieleza, ikipatikana inalika siku hiyo hiyo
Ila pesa ingefunika hayo yoteYani mtu akikataliwa hua anaonekana na sura baya bichwa baya hapo lazima uuone ubaya wake.
Huenda huyo mchumba mpya ndio mbaya bora yule alomkataa
Sawa bbyTunasema tafuta pesa.
My take. Wasichana wengi anakukataa at the same time hataki ufanikiwe katika mahusiano. Wanatumia zaidi ukipata mzuri kuliko yeye.
Takataka!Wa hapa jf wanasemaje
Wanawake wengi ni wachawi. Huyu naye yumoKuna dada mmoja alikuwa rafiki ila nilikuwa namwelewa. Nilivyompa mistari akasema atajifikiria. Baadae akasema hana hisia nami badala yake ana mtu mwingine. Ingawa iliniuma inakubidi nipotezee.
Baada kipindi cha uponyaji kupita nikapata bonge la pisi kali. Yaani ningepata rafiki yangu hii opportunity nimepoteza. Demu mkali sana. Sasa siku moja huyo rafiki akaniuliza kama nina mtu. Mimi nimfowadia hadi picha yaani. Tangu siku hiyo kakata mawasiliano.
My take. Wasichana wengi anakukataa at the same time hataki ufanikiwe katika mahusiano. Wanatumia zaidi ukipata mzuri kuliko yeye.
🚮Muwekeni humuTakataka!