Wadada Hala hala na Savanna!!

mkuu kama vipi wacheki wale wanaotoa mkopo fasta fasta...wanaweza kukusaidia maramoja!
 
▀▄▀▄▀▄Watumie Castle Lite▄▀▄▀▄▀
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
 
Buku 4500 kuna limoja jana limefakamia saba, nalichora tu nikishaligegeda halinioni tena

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂nnajiskia kuumwa ila hPa nimecheka jaman khaaa😂😂😂7 si haba 😂😂😂..bora turudi kwenye wine tu sasa kama watu wenyew ndo nyie😂😂niimecheka sana aisee...thys y mie nikitaka kuenjoy natakaga niwe na hela yangu😂jana nilijinunulia image 2 nikaona zimenipeleka sana nikabadili gia angan kwa redds..aisee umenichekesha sana 😂😂😂😂
 
Vipi umemtoa bi dada unaona anazigida tu na wewe balance yako inaanza yumba ukaamua kumtisha ili aache aagize maji? Sasa kama unawakataza savana basi wape kinywaji mbadala kisicho na sukari nyingi.
Lipa tu bili.Ukitaka kula lazima na wewe uliwe kidogo
 
😂😂😂machachuu bora unywe maji ya moto tu sasA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…