Wadada hamuwezi mkawa seriously

Wadada hamuwezi mkawa seriously

Hajashindwa kumtunza mwanae ila ni mila na desturi binti akifikisha umri fulani inatakiwa aolewe .... Mzazi wangu hata siku moja hajawahi niambia oooh nikubadilishe na ng'ombe mara mbuzi nimechoka kukutunza walaaaa kanipa choice ukipenda sawa usipopenda sawa ... Looo kua na adabu
At least[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom