Wadada jamani nikiwa kwa miguu pia mnipage basi tabasamu kama nikiwa nadrive

Wadada jamani nikiwa kwa miguu pia mnipage basi tabasamu kama nikiwa nadrive

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,465
Hivi wadada? Kwanini msiwe mnanikenulia na kunipa hiii!!!! nikiwa kwa miguu tu?
Mna nini wadada? Please naitaji smaile zenu pia nikiwa kwa miguu
Please
Ni matarajio yangu kuwa ombi langu litakubaliwa
 
Back
Top Bottom