Hivi kuna raha gani ya kula gemu na mdada ambaye kazima? Si ni sawa na kupiga maiti au mbuzi kama yule mkurungwa??Na huyoo msamaria Si ajabu anaenda kujilia.
Pombe mbaya sana
Sidhani kama ni pombe tu, pengine na madawa ya kulevya.
Picha inajieleza yenyewe, hapo Dada huyo akisaidiwa na Msamaria mwema aliyemuokota kwenye mtaro baada ya mwanadada huyo kupiga Chupa za Kutosha na Kisha kuzidiwa na Pombe , Jamaa hawakucheza mbali wakajilia vyao na kutimuka wakimwacha dada mtaroni bila msaada wowote.
Ladies Jamani Pombe si.......
Hahaha
Picha inajieleza yenyewe, hapo Dada huyo akisaidiwa na Msamaria mwema aliyemuokota kwenye mtaro baada ya mwanadada huyo kupiga Chupa za Kutosha na Kisha kuzidiwa na Pombe , Jamaa hawakucheza mbali wakajilia vyao na kutimuka wakimwacha dada mtaroni bila msaada wowote.
Ladies Jamani Pombe si.......
Bia za kitonga kachanganya na nyagi[emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa mitaa ya Embakasi county ya Nirobi mkuuKenya bila shaka, matofali yanajieleza.