Wadada JF Mnaziona Design za KUCHA Hizi??

Wadada JF Mnaziona Design za KUCHA Hizi??

Inkoskaz

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
6,361
Reaction score
2,378
2742777307_41fb8ace9f.jpg

zebra nail designs / zebra nail art designs
2737548505_fb460f4d80.jpg

summer nail designs
344117470_f372b823db.jpg

strawberry cute nail design

nail_art_82008292-img600x450-118900.jpg
 
ni nzuri sana....asante kwa kutuwekea......
 
Halafu uvikute vidole vyenyewe vimeshika glass ya wine hapo inanoga!!
 
urembo mzuri sana, wamependeza. asanteni kwa kutu-update mamabo ya urembo
 
Hao wote inaelekea huwa hawashiki maji wala hawafanyi kazi yoyote ya ndani, but they looks good!
 
Hivi hiyo mikono inaweza kushika jembe? Maana..when chips are down..we might need to go back kulima...sasa hivyo vidole..duh..pagumu hapo...
 
Hizi safi sana kwenye kukuna ile kitu yetu sisi wanaume!!!
 
Gharama ya kutengeza hizo kucha ni tsh elfu 30 hadi 60.
mda wa kukaa saloon ni masaa 3. unakaanazo zaidi ya miezi 2
na unafanya kazi zote
 
Back
Top Bottom