Wadada kutembea/kusimama gumba zimeangaliana imekaaje?

Wadada kutembea/kusimama gumba zimeangaliana imekaaje?

Fundisi Muhapa

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
4,422
Reaction score
2,112
Wadau naomba melezo kidogo maana nashindwa kuelewa. Hii ni ile style miguu inaangaliana kwenye vidole gumba na visigino vinaachana mbali. Binafsi naona wanatembea vibaya sana na haina mvuto kabisa. Labda ni mimi tuu.

Je, ni fasheni, ugonjwa, kukosa uvungu mguuni au ina mahusiano na style za ufanyaji ngono?
 
Mwandishi wa hu uzi umechemka kufungua hii mada ila mimi nimekuelewa..........

Kwa ambao hamjamuelewa mleta mada anauliza kuwa kuna aina ya mwendo ambao kuna baadhi ya madada duuu huwa wanajifanyisha kama sio kuuzoea kwa makusudi ambapo katika kutembea mguu au kwa maana ya sehemu ya unyayo huwa unapotua baada ya hatua kupigwa huwa unatua kwa kupinda inwards badala ya kunyoosha .....yaani ni kama vile ambavyo mpoki huwa anaigiza ana utege miguu imepinda kuingia kwa ndani.......yaani ni as if miguu ya muhusika imepinda.....na baada ya muda huwa wanazoea na kulemaa hivyo hubaki hivyo hivyo......huwa wanatembea kwa kunesa kiasi kwamba mbwembwe zinazidi hadi unajua kuwa huo mwendo ni wa mbwembwe si wa asili yao........ni kama vile wanawake wanapoongea kwa kupinda midomo yao kuelekea kushoto au kulia utadhani sijui wadudu gani.....yote ni mbwe mbwe ili waonekane matata kweli kweli............
 
Mwandishi wa hu uzi umechemka kufungua hii mada ila mimi nimekuelewa..........

Kwa ambao hamjamuelewa mleta mada anauliza kuwa kuna aina ya mwendo ambao kuna baadhi ya madada duuu huwa wanajifanyisha kama sio kuuzoea kwa makusudi ambapo katika kutembea mguu au kwa maana ya sehemu ya unyayo huwa unapotua baada ya hatua kupigwa huwa unatua kwa kupinda inwards badala ya kunyoosha .....yaani ni kama vile ambavyo mpoki huwa anaigiza ana utege miguu imepinda kuingia kwa ndani.......yaani ni as if miguu ya muhusika imepinda.....na baada ya muda huwa wanazoea na kulemaa hivyo hubaki hivyo hivyo......huwa wanatembea kwa kunesa kiasi kwamba mbwembwe zinazidi hadi unajua kuwa huo mwendo ni wa mbwembwe si wa asili yao........ni kama vile wanawake wanapoongea kwa kupinda midomo yao kuelekea kushoto au kulia utadhani sijui wadudu gani.....yote ni mbwe mbwe ili waonekane matata kweli kweli............
Uko sahihi. Wanaku kama bata hiyo dizaini ya utembeaji
 
Mwandishi wa hu uzi umechemka kufungua hii mada ila mimi nimekuelewa..........

Kwa ambao hamjamuelewa mleta mada anauliza kuwa kuna aina ya mwendo ambao kuna baadhi ya madada duuu huwa wanajifanyisha kama sio kuuzoea kwa makusudi ambapo katika kutembea mguu au kwa maana ya sehemu ya unyayo huwa unapotua baada ya hatua kupigwa huwa unatua kwa kupinda inwards badala ya kunyoosha .....yaani ni kama vile ambavyo mpoki huwa anaigiza ana utege miguu imepinda kuingia kwa ndani.......yaani ni as if miguu ya muhusika imepinda.....na baada ya muda huwa wanazoea na kulemaa hivyo hubaki hivyo hivyo......huwa wanatembea kwa kunesa kiasi kwamba mbwembwe zinazidi hadi unajua kuwa huo mwendo ni wa mbwembwe si wa asili yao........ni kama vile wanawake wanapoongea kwa kupinda midomo yao kuelekea kushoto au kulia utadhani sijui wadudu gani.....yote ni mbwe mbwe ili waonekane matata kweli kweli............
Mkuu tupia video.
Duu hawa wanawake kila kitu ni feki.
 
Ni kweli Tabia hii ni kwa ke na me wote kwa pamoja wana vijitabia hivi adi wasanii wakiojiwa kwenye TV live mwemye kamera akionyesha miguu yao uvunguni uivuta kwa karibu utaona miguu imepindishwa karibia wasanii wote nawaonaha hivyo .hii tabia chanzo chake asilimia nyingi miguu yao imeenda kushoto alimahalufu Chalinze kwahiyo wanailekebisha kihivyo sasa uwaga wanazidisha mpaka imekuwa swaga ata wazima wanafanya hivyo
 
Ni kweli Tabia hii ni kwa ke na me wote kwa pamoja wana vijitabia hivi adi wasanii wakiojiwa kwenye TV live mwemye kamera akionyesha miguu yao uvunguni uivuta kwa karibu utaona miguu imepindishwa karibia wasanii wote nawaonaha hivyo .hii tabia chanzo chake asilimia nyingi miguu yao imeenda kushoto alimahalufu Chalinze kwahiyo wanailekebisha kihivyo sasa uwaga wanazidisha mpaka imekuwa swaga ata wazima wanafanya hivyo
Umetisha. Na wanavyojikogosha sasa................
 
Wanalazimisha Matege yale ya kutoka kwa nje! Si unajua wadada wenye miguu ya bia wakiwa na utege wa kiaina wavutia wengi! Sasa bahati mbaya wadada wengine mitege Yao inaangaliana so inabidi wafosi iangalie kwa nje!!!
 
Back
Top Bottom