[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hawa viumbe wanakera Sana,
Juzi kati nilikutana na dada mmoja kijijini kwetu ni miaka mingi sijaonana nae kwani alikuwa udsm anasoma
Basi bwana nikamuita kwa bashasha maana ni jirani yangu,,aliishia kunishusha tu duuh sikuamini aisee,,
Malipo apa apa duniani
#Jana kaja kuomba namba ya dada angu anatafuta connection nikamwambia ww hapa uondoke na ukiendelea kukaa napiga kelele unanishawishi tufanye ngono#
Kama alikaa tena[emoji124][emoji124][emoji124]
Ukiona umemsalimia mdada kasikia na hajakuitikia,jua huyo ni Punguani a.k.a hamnazo!
Haka katabia kanakera sana
salam nyingine zinachota/zinaondoka na ufahamu...[emoji854][emoji846]
Kama nimeandika hivyo ndio nimejitaja mimi huwa siitikii salamu?
Ulikosea kwa kutokumpa funzo! Ilitakiwa umwambie mlinzi amuachie apite hapo angejisikia vibaya zaidi na angejiona mwenye hatia ikawa funzo kwake siku nyengine.
Kimtokacho mtu ndicho kilimchojaa moyoni mwakeWapi nimeandika mimi huwa siitikii salamu?
Ubaya unalipwa kwa wemaSalaam/Shalom.
Kuna hili suala huwa linanishangaza sana, utakuta unamsalimia mtu halafu matokeo yake huyo unayemsalimia utakuta anakuangalia tu.
Huwa najiuliza sana hili swali, hivi mkijibu salaam huwa mnapungukiwa na kitu gani dada zangu...?
Leo nilikuwa Mount Meru Hospital kwa ajili ya kupima COVID 19 coz kuna kasafari kidogo cha nje, basi nikasema hebu ngoja nitoke nje ya geti nikanunue maji ya kunywa then nirudi ndani na muda wa kuona wagonjwa ulikuwa umeshaisha na askari akawa anazuia watu wasiingie.
Basi wakati natoka nje nikapishana na mdada mmoja mweupeeee anaingia ndani kumuona mgonjwa wake, nikamsalimia yule dada akawa ananiangalia tu, basi nikapishana nae nikanunua maji nikawa narudi ndani.
Nafika getini nikamkuta yule mdada amezuiwa kuingia ndani kwa kuwa muda wa kuona wagonjwa ulishaisha, basi nilivyofika getini askari akaniambia MKUU INGIA INGIA nikapita zangu nikamuacha yule mdada anamsihi, anambembeleza na kumuomba sana askari wa getini amruhusu aingie ndani kumuona mgonjwa wake, lakini bila ya mafanikio hakuweza kuingia ndani.
Ningeweza kumwambia tu askari MRUHUSU AINGIE na askari asingeuliza mara 2, ila unaanzaje kumuombea msaada mtu ambaye hata salaam yako ameshindwa kujibu akabaki anakuangalia tu...?
Matokeo yake ikabidi arudi nyumbani kama alivyokuja. Hivi, mnaposalimiwa then mkajibu salaam huwa mnapungukiwa na kitu gani dada zangu...?
Badilikeni aisee sio kila salaam ina ubaya ndani yake salaam nyingine zina baraka ndani yake, hivyo msiwe wenye kujikosesha baraka wenyewe kwa kushindwa kujibu kitu kidogo tu dada zangu. SALAAM.
NAWASILISHA.
Mkuu hawa viumbe wanakera Sana,
Juzi kati nilikutana na dada mmoja kijijini kwetu ni miaka mingi sijaonana nae kwani alikuwa udsm anasoma
Basi bwana nikamuita kwa bashasha maana ni jirani yangu,,aliishia kunishusha tu duuh sikuamini aisee,,
Malipo apa apa duniani
#Jana kaja kuomba namba ya dada angu anatafuta connection nikamwambia ww hapa uondoke na ukiendelea kukaa napiga kelele unanishawishi tufanye ngono#
Kama alikaa tena[emoji124][emoji124][emoji124]
Huwa ni dharau tu wengine wanazo ila pia je ulimsalimiaje? habari dada/anti au mambo cheupe/shosti/mtoto mzuri/baby.
Nakumbuka mwaka Jana niliwahi msalimia mda mmoja njiani 'mambo dada angu' matokeo yake akanifyonya!! Halafu akanambia, "kawazoee hao hao Malaya uliowazoea"Sasa kwa nini wahusishe salaam na nia ya ngono...? Kwani salaam imekaa ki-ngono ngono mkuu...?
Nilichoandika sio mawazo,ni kitu kipo...mimi ni wa kike,nina marafiki wa kike wenye hizo tabia na wananipa hiyo sababuMawazo ya mtu husadifu kile akisemacho au kukiandika, anyway nimekuelewa uwe na mchana mwema.
Binafsi ni afadhali Mtu anipite bila kunisalimia kuliko nimsalimie na asipokee salamu yangu !!
Pole sana Mkuu Niache Nteseke ila wadada wengi ni watu wa jinsi hiyo nadhani wanafikiri wasipoitikia salamu TOKA kwa ME basi hadhi yao inakuwa Bab-K....It's a stupidity behavior !!
Hizi zitakuwa ni imani za kishirikina.salam nyingine zinachota/zinaondoka na ufahamu...[emoji854][emoji846]
Uyo rafiki yako ni mshamba sana ..unaweza kua msomi lakini still ukawa na ushambaNilichoandika sio mawazo,ni kitu kipo...mimi ni wa kike,nina marafiki wa kike wenye hizo tabia na wananipa hiyo sababu
Ninae rafiki hakubali salamu ya mwanaume asiye na gari
Kwake yeye mwanaume mwenye gari ndio mwenye haki ya kuongea nae
Mtu mwenye muonekano wa hovyo anafananaje!ni tabia za dharau kutoitika salamu ya mtu usiyemjua au kwa sababu siyo nadhifu,wakati mwengine anataka kukufahamisha uelekeo unaoelekea kwa muda huo siyo kuzuri rudi au labda umedondosha kitu.
Dunia hii siyo ya kuishi kwa maringo unapojiona wewe mzuri kuna sehemu ukiingia wanakuona kinyago tu ila huwa wanakusikiliza kwa sababu ni binadamu mwenzao!
Ni mwehu pekee ana kataa salamu
Huyo rafiki yako ana dalili mojawapo za ugonjwa wa akili. Mpelekeni kwa mtaalamu wa magonjwa ya akili kabla hamjachelewa!Nilichoandika sio mawazo,ni kitu kipo...mimi ni wa kike,nina marafiki wa kike wenye hizo tabia na wananipa hiyo sababu
Ninae rafiki hakubali salamu ya mwanaume asiye na gari
Kwake yeye mwanaume mwenye gari ndio mwenye haki ya kuongea nae