Wadada, Mkisalimiwa Jibuni Salaam, Sio Kila Salaam Ina Ubaya Ndani Yake.


Sasa hebu imagine mkuu, unamsalimia mtu anakutukana na kukusonya hii ni tabia njema kweli...?

Sio utu hata kidogo ningekuwa ni mimi ningemwambia mama yake hakuna tuition mpaka huyu mwanao aniombe radhi kwa kunipigia magoti ndio tuendelee na masomo, laa sivyo masomo yangeisha siku hiyo hiyo aisee.
 
Kuna watu wengi tunapishana nao mitaani wana magonjwa ya akili. Magonjwa ya akili yako katika viwango tofauti tofauti.
Kuringa nako ni dalili mojawapo ya ugonjwa wa akili.

Unachosema kinaweza kuwa kweli kiongozi imagine unamsalimia mtu halafu baada ya kukujibu anakutukana, hivi inaingia akilini kweli...?
 
Nilichoandika sio mawazo,ni kitu kipo...mimi ni wa kike,nina marafiki wa kike wenye hizo tabia na wananipa hiyo sababu

Ninae rafiki hakubali salamu ya mwanaume asiye na gari
Kwake yeye mwanaume mwenye gari ndio mwenye haki ya kuongea nae

Ni ulimbukeni tu umemjaa angekuwa sio limbukeni asingekuwa hivyo.
 
Huyo rafiki yako ana dalili mojawapo za ugonjwa wa akili. Mpelekeni kwa mtaalamu wa magonjwa ya akili kabla hamjachelewa!

Mkuu umenifanya nimecheka kwa sauti sana aisee...!

Daaaaah hawa dada zetu wana matatizo sana na hawajijui kuwa wana matatizo vichwani mwao.
 
Jamani mie nimekuuliza wewe then wewe tena unausemea moyo my dear...!

😍
kumbe nimeusemea πŸ’“....basi rowin anapenda kusalimia sana anapopishana nao....anajihisi ni mmojawao....vizuri salam iambatane na tabasamu...isipojibiwa basi atakuwa mgonjwa, kama mdau hapo juu alivyowakilisha...πŸ˜‰
πŸ™ƒ
 
Kuuguza kunatia mawazo, yamkini hata hiyo salamu yako hakuisikia kwasababu ya kujawa na mawazo mengi hasa ukizingatia kuwa alikuwa amechelewa muda wa kuingia kumuona mgonjwa wake. Huyo dada alistahili huruma na sio lawama!
 
kumbe nimeusemea πŸ’“....basi rowin anapenda kusalimia sana anapopishana nao....anajihisi ni mmojawao....vizuri salam iambatane na tabasamu...isipojibiwa basi atakuwa mgonjwa, kama mdau hapo juu alivyowakilisha...πŸ˜‰
πŸ™ƒ

Wow umenifanya nikupende bure my dear.

So lovely...!
 
Tumia hii formula
1.usimsalimie mwanamke ambaye humjui njiani,wala kumuongelesha.
2.salimia pale tu unapoenda sehemu na ni lazima usalimie,dukani,ofisini,unashida,umeitwa,umemuita mtu etc
 
umeeleweka sana....[emoji6]
[emoji854]
Moja ya tabia yangu ndio hii naweza kutembea nisimsalimie mwanamke lkn mwanaume ata kusimama kwa ajir ya salam naweza ,ata sehem za huduma sana sana hiz za madukan itokee tu sina jinc ndio naenda kwa watoa huduma wa kike sio kama nawachukia au siwapendi ila wanawake zalau zimezd asa ukiwa na muonekano au hali fulan ambayo wanaichukulia si nzur
 
basi nikajua unakimbia washirikina.....kumbe dharau tu...
ubinadamu wetu ndio unatufanya tuhukumu mtu kwa mwenokano wa nje...wengi wetu tunafanya bila kujijua (sijui ndio dharau kwa yule asiyevutia? )...na wale wanaovutia sijui tutasemaje? ila ni hukumu ile ile....
ni ngumu kuepuka....tuvumiliane tu...πŸ˜‰πŸ™ƒ
 
Mkuu huenda hakusikia, sio wote wana tabia hizo.

Au labda alikua na mawazo ya mgonjwa wake na huo mda alofika akijua huenda kachelewa na mgonjwa wake hatopata mlo wa mchana wa siku hiyo.

Kwa mimi naona ulimhukumu bure dada wa watu, na je ulimsalimia zaidi ya mara moja?? Kama sivyo basi we jamaa una kujiskia kwa kijinga na unapaswa kupuuzwa kwa hizi lawama unazomtupia bidada!!
 
Tumia hii formula
1.usimsalimie mwanamke ambaye humjui njiani,wala kumuongelesha.
2.salimia pale tu unapoenda sehemu na ni lazima usalimie,dukani,ofisini,unashida,umeitwa,umemuita mtu etc
Kama,,,,,[emoji109]βœ“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…