Sure brother ni bora mara kumi tena, actually huwa nikimsalimia mtu mara moja hata kama tunaishia mtaa mmoja, asipoitikia tu basi hatakaa asikie sauti yangu hata siku 1.
Kuna wengine unakuta wanaonesha dharau at the same time unamkuta njiani au kituoni kasimama then hata lift huwezi kumpa, kiukweli huwa wanajikosesha vingi sana bila ya wenyewe kujijua mkuu.