Wadada, Mkisalimiwa Jibuni Salaam, Sio Kila Salaam Ina Ubaya Ndani Yake.

Sina uhakika katika hilo mkuu ingawa nami ni wa jinsi hiyo.

Ooooh owkay ndio maana basi inakuwa ngumu kuliona hilo suala ni sawa na muonekano au tabia ukiwa nayo mwenyewe ni ngumu kujiona ila wa upande wa pili ndio anaweza kukuona my dear.

Na pia sio wote wapo hivyo ila asilimia kubwa wapo hivyo kiongozi...!
 
Tutaendelea ishi nao hivyo hivyo mpaka waelewe somo !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…