kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,313
- 7,714
Nawasalimu Wana Jf,
Ukienda Arusha ni balaa,ukija da Shida,kampala usiseme ,Ruanda haya,mbulu wacha,Mombasa haya,Tanga sokomoko,Morogoro,Mbeya,Upare,watoto wa kike ni balaa,mnazidi kupendeza jamani na watoto ndio wanaenda form one tutashindwa kulipa ada acheni kupendeza hivyo!watoto wa siku hizi mmezidi kuwa wazuri duh!
Ukienda Arusha ni balaa,ukija da Shida,kampala usiseme ,Ruanda haya,mbulu wacha,Mombasa haya,Tanga sokomoko,Morogoro,Mbeya,Upare,watoto wa kike ni balaa,mnazidi kupendeza jamani na watoto ndio wanaenda form one tutashindwa kulipa ada acheni kupendeza hivyo!watoto wa siku hizi mmezidi kuwa wazuri duh!