Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Mnacomplicate sana maisha watu humu ndani,sioni sababu ya kulalamika hapa,sidhani kama kuna watu watakuja kuoa humu ndani.

Sababu kama unalalamika kuombwa hela ya dawa,ukiambiwa ukweni nyumba imebomolewa na mafuriko utafanyaje,au utachukulia umepewa tu taarifa ili ufahamu,baasi.

Unalalamika kuombwa msaada wa kusaidia mgonjwa apone? We ni undertaker nini?
 
Mnacomplicate sana maisha watu humu ndani,sioni sababu ya kulalamika hapa,sidhani kama kuna watu watakuja kuoa humu ndani.

Sababu kama unalalamika kuombwa hela ya dawa,ukiambiwa ukweni nyumba imebomolewa na mafuriko utafanyaje,au utachukulia umepewa tu taarifa ili ufahamu,baasi.

Unalalamika kuombwa msaada wa kusaidia mgonjwa apone? We ni undertaker nini?

Your damn right. Tatizo ni kwamba huyo mgonjwa ni mgonjwa hewa
 
Daah! jamani hii ni hatari yaan usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi!!! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa. Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani? mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?

Mama anaumwa! Sina hela ya kula! Vocha uliyonitumia imekatwa nilikuwa nimekopa! Kuna kitop nimekipenda nimekopa dear! Nadaiwa hela ya mchezo honey! Sijaona meseji ya hela uliyonitumia sweetie! Baby nina hamu na juice!
Ha ha ha ha aaah! Mjini shule mkuu! Mi nachekaga sana!
 
Mama anaumwa! Sina hela ya kula! Vocha uliyonitumia imekatwa nilikuwa nimekopa! Kuna kitop nimekipenda nimekopa dear! Nadaiwa hela ya mchezo honey! Sijaona meseji ya hela uliyonitumia sweetie! Baby nina hamu na juice!
Ha ha ha ha aaah! Mjini shule mkuu! Mi nachekaga sana!

unampa ya bandia,mpesa network haipo,
MIMI SIKUKUFUNDISHA MATUMIZI
 
Back
Top Bottom