M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
mie wanachonishangaza ni kwamba ukimwambia huna utasikia kumbe at elf hamsini inakupiga chenga....amesahau kuwa yeye mwenyewe kashindwa ipata...haya basi vua chu.pi nikupe oh nitumie kwanza kwenye mpesa loh....
Mnacomplicate sana maisha watu humu ndani,sioni sababu ya kulalamika hapa,sidhani kama kuna watu watakuja kuoa humu ndani.
Sababu kama unalalamika kuombwa hela ya dawa,ukiambiwa ukweni nyumba imebomolewa na mafuriko utafanyaje,au utachukulia umepewa tu taarifa ili ufahamu,baasi.
Unalalamika kuombwa msaada wa kusaidia mgonjwa apone? We ni undertaker nini?
Hahaaa.. Naukisha tuma humuoni ng'oooo
Mimi mwanamke akiniomba hela tu kesho yake nampiga chini.
Umuone wa nini?
Daah! jamani hii ni hatari yaan usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi!!! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa. Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani? mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?
Toa helaaaaaa, mpe helaaa, mpe pesa, mpe mawe, mpe dolari, mpe faranga, mpe sabuni ya rohooooo
Mama anaumwa! Sina hela ya kula! Vocha uliyonitumia imekatwa nilikuwa nimekopa! Kuna kitop nimekipenda nimekopa dear! Nadaiwa hela ya mchezo honey! Sijaona meseji ya hela uliyonitumia sweetie! Baby nina hamu na juice!
Ha ha ha ha aaah! Mjini shule mkuu! Mi nachekaga sana!