huhuhuhuu .... basi msilalamike km mnalijua hilo
Daah! jamani hii ni hatari yaan usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi!!! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa. Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani? mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?
Wamekusikia kwa kweli watu wote duniani tunapenda watu wanao add value to our life
ni kwa hao wanao nunua uchi,si wengine tunaoa na kufanya maendeleo ngo.no na ufuska na upuuzi NO ,BIG NO
Kama huna hela siku hizi papuchi zenye viwango utaishia kuziona kwenye sketi tu.
VAlue through money ..NONSENSE
hata ushauri ni value
Watu wana shida mjini ila Mademu wamezidi...khaaa!!!
mie wanachonishangaza ni kwamba ukimwambia huna utasikia kumbe at elf hamsini inakupiga chenga....amesahau kuwa yeye mwenyewe kashindwa ipata...haya basi vua chu.pi nikupe oh nitumie kwanza kwenye mpesa loh....
Hahaaa.. Naukisha tuma humuoni ng'oooo
Daah! jamani hii ni hatari yaani usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa.
Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani?
Mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?