Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Na mimi kwa kuwa unanipiga mizinga siku nikikamata hiyo papuchi utajuta maana naanzia kwa igwe kinondoni kupaka puturuu napiga na viroba ntakusugua mpaka k itakuwa kama lapulapu la deki

hakika Jf ni hazna kubwa xn .......nimecheka mnooo
 
Daah! jamani hii ni hatari yaani usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa.

Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani?

Mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?


Hata wanaume uwa mnapiga mizinga marioozz
 
Siku hizi ukianzisha tu mahusiano siku ya pili mzinga oooh nisaidie hela ya kusuka, oooh bebi nimevipenda viatu, mara ooh bebi gauni hili zuri. bebi nilucharge.

Muwage na aibu, vuta subira hata wiki. Halafu kale katabia ukitoa mzigo lazima nilipie hakaja kaa sawa. Wanaume tuungane jamani, vyuma vimekaza.
 
Back
Top Bottom