Na mimi kwa kuwa unanipiga mizinga siku nikikamata hiyo papuchi utajuta maana naanzia kwa igwe kinondoni kupaka puturuu napiga na viroba ntakusugua mpaka k itakuwa kama lapulapu la deki
Mwisho wa siku atakwambia wewe "Mchafu sana wewe, level zetu hazilingani!!"Toa helaaaaaa, mpe helaaa, mpe pesa, mpe mawe, mpe dolari, mpe faranga, mpe sabuni ya rohooooo
Daah! jamani hii ni hatari yaani usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa.
Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani?
Mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?
Bebe weToa helaaaaaa, mpe helaaa, mpe pesa, mpe mawe, mpe dolari, mpe faranga, mpe sabuni ya rohooooo
Kuna demu kabila MGOGO anapiga mizinga balaa mara akuambie kodi mara, mtaji umekata ili mradi vurugu tu. Japo mtamu sana
hivi mpaka uitwe mzinga ni kuanzia shingapi???
Msituchoshe, nunua geisha jipe burudani mkono....
Tofauti ipo sanaKwani wanatofautiana utamu?